Napigiwa simu na namba hii +25576670

Napigiwa simu na namba hii +25576670

The Businessman

JF-Expert Member
Joined
Jan 9, 2014
Posts
7,397
Reaction score
9,264
Habari wakuu,

Toka jana napigiwa simu na hiyo namba ni zaidi ya mara 4 napokea lakini hakuna sauti inayosikika.

Naomba maelezo kama kuna mtu naye anapigiwa, natumia mtandao wa Vodacom.
 
Vodacom hao simu zao za ndani wanazitumia
 
labda unachunguzwa ndugu so tegemea lolote toka sasa
 
Militumiwa SMS eti nimeshinda madola kibao sasa najiuliza nilifanya mashindano lini?
 
Hahahahahaha mkuu hapo umakin unahitajika kwa sanaaa maana mi juz juzi nimechunwa laki 2[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Voda hao yawezekana umetumiwa hela kimakosa na wanataka kuirudsha hivyo lazma wakupgie ucomfirm hilo!
 
Back
Top Bottom