Ndio, tena mm nilikuwa nahitaji sana MTU Wa aina hiiKweli maisha magumu yanachochea ubunifu......
Kwahio hii ni kazi kabisa?.....
Kwanini usingeweza hata kutoa bei ya hizi.
Niunganishe na watengenezaji wa hizo handbags maana kiukweli umezibadili kiwango nazihitaji.
Now I tempt to believe that you are serious, hongeraView attachment 635682 View attachment 635684 Sample zingine za kazi zangu hizi. Ninazo nyingi lakini kwa sababu ya makubaliano na wateja, kuna ambazo siwezi kuzionyesha hapa.
Hakika mleta mada ana hoja ya msingi tusimbeze.
Pale ulipokuwa umetuma maelezo bila picha, na pia nikitaka nione upekee/ubora wa upigaji picha utakaoleta mvuto kibiashara, and with those few pics na justification ya why hutumi nyingi (customer confidential agreements) nimeshawishika kuwa upo serious hukuwa unataniaShukrani muheshimiwa. Kwa nini ilidhani sipo serious?
Pale ulipokuwa umetuma maelezo bila picha, na pia nikitaka nione upekee/ubora wa upigaji picha utakaoleta mvuto kibiashara, and with those few pics na justification ya why hutumi nyingi (customer confidential agreements) nimeshawishika kuwa upo serious hukuwa unatania
Mkuu, tayari nimeshaongea na Mdau kuhusu kushirikiana naye kuhusu hiyo kazi. Hata ile kazi uliyonipa nime opt aifanye yeye, I will keep you updated this weekend Sir..
Pia unaweza kufanya survey kwenye hii section ya "matangazo madogo" ukapick zile adverts/matangazo yaliyo fail (ambayo haya attract attention ya wana jf) kisha ukawaendea pm wahusika ukiwa na samples za modification ya matangazo yao, naamini ukifanya hivyo utafanikiwa. Pia unaweza kuwa ni mtu wa kutafuta biashara adimu/unique mijini madukani (kuna watu wanauza vitu exceptional ila hawafanyi advertisement) ukaongea nao na kuwaelimisha umuhimu wa kuitangaza biashara, ukawapa na offer ya punguzo kwa matangazo ya awali. Ukishakuwa na sub contract ya kutangaza bzness tumia forums tofauti tofauti eg jf, jumia etc. Mie cna uzoefu wa biashara kwa hiyo huu ni ushauri wa level ya chini kuna mambo naweza kuwa cjazingatiaNimekupata mzee. Ningependa sana kuifanya kwa large scale kwa sababu wenye mahitaji ni wengi na naweza kuwa fast. Sijui una ushauri gani?
Keynez, mimi nimefurahishwa na vitu viwili sasa.........