Napiga bei raba zangu bei poa kbs

Napiga bei raba zangu bei poa kbs

Rajabu Msechu

Member
Joined
Apr 13, 2016
Posts
35
Reaction score
18
Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.

Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.
Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black & White)' na 'Allstar Converse sneaker low-top(Black & White).

Nimeambatanisha na picha zake.
Bei kwa zote ni elfu80,..mazungumzo yapo.
Mawasiliano - 0717 54 73 25.

Karibuni sana.
1473391224519.jpg

1473391237600.jpg
1473391248801.jpg
1473391260462.jpg
1473391271651.jpg
1473391281546.jpg
 
Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.

Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.

Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.

Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.

Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.

Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black & White)' na 'Allstar Converse sneaker low-top(Black & White).

Nimeambatanisha na picha zake.

Bei kwa zote ni elfu80,..mazungumzo yapo.

Mawasiliano - 0717 54 73 25.

Karibuni sana.View attachment 396583
View attachment 396584View attachment 396585View attachment 396586View attachment 396587View attachment 396588
Mbona umeshavivaa mkuu?
 
Converse used 80k wewe ulinunua bei gani?
 
Dah tunazidi kuisoma namba...mpka kufika 2020 watu tutauza mpka boksi..Ccm mungu anawaona.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom