Rajabu Msechu
Member
- Apr 13, 2016
- 35
- 18
Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.
Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.
Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black & White)' na 'Allstar Converse sneaker low-top(Black & White).
Nimeambatanisha na picha zake.
Bei kwa zote ni elfu80,..mazungumzo yapo.
Mawasiliano - 0717 54 73 25.
Karibuni sana.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.
Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.
Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black & White)' na 'Allstar Converse sneaker low-top(Black & White).
Nimeambatanisha na picha zake.
Bei kwa zote ni elfu80,..mazungumzo yapo.
Mawasiliano - 0717 54 73 25.
Karibuni sana.