Habari zenu waungwana wa jukwaa hili.
Kama tangazo linavyojieleza, kimfaacho mtu chake.
Nauza raba zangu mbili, nimezivaa kwa takribani mwezi mmoja.
Zipo kwenye hali nzuri kabisa, size ni 10uk.
Nimeamua kuziuza sababu zimekuwa kubwa kwangu.
Raba zenyewe ni 'Air Jordan Retro 1-High Top(Black & White)' na 'Allstar Converse sneaker low-top(Black & White).
Nimeambatanisha na picha zake.
Bei kwa zote ni elfu80,..mazungumzo yapo.
Mawasiliano - 0717 54 73 25.
Karibuni sana.
View attachment 396583
View attachment 396584View attachment 396585View attachment 396586View attachment 396587View attachment 396588