Lorenzo Insigne
Senior Member
- Nov 14, 2017
- 132
- 331
Hongera kwa kupendwa mkuu!
Unahonga sanaHabari mabibi na mabwana! Bila kupoteza uhalisia wa topic yangu nikimbie moja kwa moja kwenye mada Kuna jambo linanishangaza sana,nimefanikiwa kuingia kwenye penzi kwa vipindi tofauti tofauti na wanawake tofauti tofauti. Iila cha kushangaza kila mwanamke ninaemdate ananipenda mno hadi nawaonea huruma.
Mwanzo nilijua kwa vile sio mzuri wa sura nikaamua kugeukia upande wa pili nikajipatia katoto kazuri kila mtaa wanamkimbia kwa uzuri alonao mashallaah! Sasa haka ndo kananipenda hadi nataman kukaacha ila roho inaniuma sitaki nikaumize. Sijajua wananipendea nini hawa totos. Nawasilisha
Tatizo **** siku mtu atakuja kujiua kwa ajili yangu naogopaHongera kwa kupendwa mkuu!
Mzee utoto huo vipWototo mtatusumbua sana mwaka huu!!
Sio sanaUnahonga sana
Katudharau SanaKwahiyo sisi ndio unao tugegeda unatuuliza? Si uwaulize hao unao wazini watakupa jibu ni kipi wanakupendea mpaka unawazini. Watoto wa 2000 mnashida sana nyie. Empty Set kabisa.
Mkuu hio imenitishia akili ndio kisa nikasemelea hapaNdo kazi mlio bakiwa nazo, Alafu mnasema magu kakaza vyuma, Duh!!
So nifanyeje.bestNa kweli aisee best sababu sikutegemea mlipuko ka huu.
Kuna mada hazitakiwi kujadiliwa na wanaume, nasisitiza WANAUME,....other wise ni utoto tu!Mzee utoto huo vip
Mkuu unazinguaUwe unakumbuka tu ' Kujifukuzia ' Udi ule wa Dubai au Saudi Arabia ukishakuwa unamaliza ' kuwazibua ' Vyoo Mkuu ili kutengeneza hali ya hewa yenye ushirikiano na mazingira yetu.
KwahiyoKuna mada hazitakiwi kujadiliwa na wanaume, nasisitiza WANAUME,....other wise ni utoto tu!
HilaSio kweli
Nipe mda
Sikua na maana hiyo! Hapa ninaamini nitapata ushauri dats whyKwahiyo sisi ndio unao tugegeda unatuuliza? Si uwaulize hao unao wazini watakupa jibu ni kipi wanakupendea mpaka unawazini. Watoto wa 2000 mnashida sana nyie. Empty Set kabisa.
So?? Unamanisha niniBiashara ni matangazo
Adjoint set[emoji3]Kwahiyo sisi ndio unao tugegeda unatuuliza? Si uwaulize hao unao wazini watakupa jibu ni kipi wanakupendea mpaka unawazini. Watoto wa 2000 mnashida sana nyie. Empty Set kabisa.