ager de don
JF-Expert Member
- Oct 6, 2017
- 621
- 320
Habari mabibi na mabwana! Bila kupoteza uhalisia wa topic yangu nikimbie moja kwa moja kwenye mada Kuna jambo linanishangaza sana,nimefanikiwa kuingia kwenye penzi kwa vipindi tofauti tofauti na wanawake tofauti tofauti. Iila cha kushangaza kila mwanamke ninaemdate ananipenda mno hadi nawaonea huruma.
Mwanzo nilijua kwa vile sio mzuri wa sura nikaamua kugeukia upande wa pili nikajipatia katoto kazuri kila mtaa wanamkimbia kwa uzuri alonao mashallaah! Sasa haka ndo kananipenda hadi nataman kukaacha ila roho inaniuma sitaki nikaumize. Sijajua wananipendea nini hawa totos. Nawasilisha
Mwanzo nilijua kwa vile sio mzuri wa sura nikaamua kugeukia upande wa pili nikajipatia katoto kazuri kila mtaa wanamkimbia kwa uzuri alonao mashallaah! Sasa haka ndo kananipenda hadi nataman kukaacha ila roho inaniuma sitaki nikaumize. Sijajua wananipendea nini hawa totos. Nawasilisha