Zero IQ
JF-Expert Member
- Dec 21, 2016
- 13,917
- 24,674
Ni binti mgeni tu aliamia kitaa chetu, sasa wakati anakuja hakuna aliyekuwa anajua kwamba ni dada poa yaani anauza,
Sasa bwana Zero iq nikajitosaga kumfukuzia ili nimsajiri kwenye daftari la mtaa,
Kweli demu alitiki na nilimenya mara kadhaa za chap chap tena buree kabisa bila hata mia. Sasa bhana baada ya kupita siku siku hivi kuna jamaa yangu kanitonya kwamba demu anauza sikuamini.
Kuna siku si akanichukua usiku tukaenda hadi maeneo yake kweli nilimfuma kwa macho yangu akiuza,
Sasa kimbembe kimekuja kwenye kutaka kumuacha demu ni amegoma kata kata,
Anasema amenipenda mimi kama mimi na show zangu ndio maana hakuwai kuniomba ata mia kuanzia tuanzishe mahusiano mpaka sasa,
Ukizingatia ni kweli aiseee,
Halafu mtoto mwenyewe pisi la kihaya na mwenyewe nimelikubali nikaona ya nini shida wacha niendelee nae tu
Kiukweli mpaka kesho bado anauza na kwa kujiona ananijai huwa ananiaga kabisa wakati wa kutoka na kila akirudi lazima aniambie,
Ila kinachionishangaza ni kwamba licha ya kuwa anauza lakini huwa na Genye sana na mimi kiasi kwamba haipiti siku mbili bila kuniambia kwamba amemisi kudinyana na mimi,
Na mimi kwa kuwa najua anauza huwa sina iyana nikimenya huwa namenya aswaa kiasi kwamba naakikisha mataulo na mashuka yote yameloa kwa katerero.
Natamani nimuache lakini nashindwa wakuuu, mtoto mtamu aiseee.
Cc Zero IQ
Sasa bwana Zero iq nikajitosaga kumfukuzia ili nimsajiri kwenye daftari la mtaa,
Kweli demu alitiki na nilimenya mara kadhaa za chap chap tena buree kabisa bila hata mia. Sasa bhana baada ya kupita siku siku hivi kuna jamaa yangu kanitonya kwamba demu anauza sikuamini.
Kuna siku si akanichukua usiku tukaenda hadi maeneo yake kweli nilimfuma kwa macho yangu akiuza,
Sasa kimbembe kimekuja kwenye kutaka kumuacha demu ni amegoma kata kata,
Anasema amenipenda mimi kama mimi na show zangu ndio maana hakuwai kuniomba ata mia kuanzia tuanzishe mahusiano mpaka sasa,
Ukizingatia ni kweli aiseee,
Halafu mtoto mwenyewe pisi la kihaya na mwenyewe nimelikubali nikaona ya nini shida wacha niendelee nae tu
Kiukweli mpaka kesho bado anauza na kwa kujiona ananijai huwa ananiaga kabisa wakati wa kutoka na kila akirudi lazima aniambie,
Ila kinachionishangaza ni kwamba licha ya kuwa anauza lakini huwa na Genye sana na mimi kiasi kwamba haipiti siku mbili bila kuniambia kwamba amemisi kudinyana na mimi,
Na mimi kwa kuwa najua anauza huwa sina iyana nikimenya huwa namenya aswaa kiasi kwamba naakikisha mataulo na mashuka yote yameloa kwa katerero.
Natamani nimuache lakini nashindwa wakuuu, mtoto mtamu aiseee.
Cc Zero IQ