Suip
JF-Expert Member
- Sep 21, 2010
- 1,314
- 760
Vyuo na kidato cha sita kufunguliwa Juni mosi na kwa kuwa COVID-19 imeathiri wazazi kiuchumi kwa baadhi ya wazazi ambao ni watumishi katika secta binafsi kusimamishwa kazi na wengine biashara zao kuathiriwa na uwepo COVID-19.
Wazazi na walezi wengi kwa sasa watakosa uwezo wa kulipa ada kikamilifu hivyo wapewe muda wakulipa kwanza nusu ya ada na wamalizie nusu ya pili wanafunzi wanapo karibia kufanya mitihani yao ya mwisho.
Maelekezo hayo yangetolewa na Waziri husika kwani baadhi vyuo hawakubali kusajili wanafunzi wasipolipa ada yote.
Ni ombi tu nawasilisha
Wazazi na walezi wengi kwa sasa watakosa uwezo wa kulipa ada kikamilifu hivyo wapewe muda wakulipa kwanza nusu ya ada na wamalizie nusu ya pili wanafunzi wanapo karibia kufanya mitihani yao ya mwisho.
Maelekezo hayo yangetolewa na Waziri husika kwani baadhi vyuo hawakubali kusajili wanafunzi wasipolipa ada yote.
Ni ombi tu nawasilisha