Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 488
- 679
Nakubaliana nawewe mtoa uzi
Hahahahaha...hizi fursa ndogo ndogo huwa hatuziachi mkuu...Huchezi mbali mzee mwenzangu😁
Fanya mazoezi mdogo wangu... punguza kula🐷🐷Aisee bora! Sababu haiwezekani na miaka yangu hii 23 niwe na 79kg🥺
Huwezi amini! Ipo kwenye pot nasubiri mida ya saa 5 nikale na ugali 😂Fanya mazoezi mdogo wangu... punguza kula🐷🐷
Kesho utaamka na kg 81 najaribu kuwaza unaonekanaje sijui kwann nakuona kama una kitambi😁Huwezi amini! Ipo kwenye pot nasubiri mida ya saa 5 nikale na ugali 😂
Nina kitambi na mashavu!Kesho utaamka na kg 81 najaribu kuwaza unaonekanaje sijui kwann nakuona kama una kitambi😁
Nakuchora taratibu nipe urefu wako na rangiNina kitambi na mashavu!
Mimi sio mnene hila hizi kg zinasababishwa na ukubwa wa kitambi😂
Nakuchora taratibu nipe urefu wako na rangi
Bas we itakua ni yule mdada aliekatizaga naked pale kkoo sema ulivaa viatu vyenye kisigino kirefu🤣maana dimensions zote mule muleUrefu futi 3 na nusu rangi mweusi, wanaita black beauty😂😛
Alikua amevaa cropped singlet? Kitambi chote nje?😂 kama ni huyo basi mimiBas we itakua ni yule mdada aliekatizaga naked pale kkoo sema ulivaa viatu vyenye kisigino kirefu🤣maana dimensions zote mule mule
Yule kila kitu kulikuwa HD sema alijipaka sijui ni masinzi sijui oil chafu ilee hata sijui nn ila usoni haikua rahis kumjuaAlikua amevaa cropped singlet? Kitambi chote nje?😂 kama ni huyo basi mimi
Aah basi sio mimi! Mimi napakaga shedo na wanja🙂Yule kila kitu kulikuwa HD sema alijipaka sijui ni masinzi sijui oil chafu ilee hata sijui nn ila usoni haikua rahis kumjua
Msizunguke naked mnatutia majaribuni tena kipindi hiki ndo utaniharibia mfungo kbsAah basi sio mimi! Mimi napakaga shedo na wanja🙂
Ndo nguo wachina wanazotuleteaMsizunguke naked mnatutia majaribuni tena kipindi hiki ndo utaniharibia mfungo kbs
Sogea sogea maeneo ya kule basNdo nguo wachina wanazotuletea