Yule sio kama anajua kila kitu huwa anarushiwa informations na kuzipost so msifie anaemrushia infors yule kinachompa credit ni kujibanza ughaibuni.Sijawahi kumkubari huyu dada.Duh kwa hiyo we humkuabali Mange
zero brain tu ndio wanamkubali...MJICHEKIHabari za Jumapili wanajamvi.
Huyu mama Mange Kimambi ni jasiri, anakubalika na rika zote, anatetea wanyonge, ni mvumilivu, mpole na mpenda haki.
Amefichua maouvu mengi sana hapa nchini. Na kila mtu ana imani kubwa kuwa Mange ni mkombozi wetu.
Kwa kipindi kifupi ameweza kuiteka nchi nzima hadi tumemsahau kamanda wetu Lisu kule Ulaya.
Nikiwa mwana ukawa kindakindaki naomba sana viongozi wangu tumkabidhi kijiti Mange ili aokoe hichi kizazi.
Ikiwa atapitishwa na ukawa hakuna mtu wa CCm wa kumshinda Mange.
Naomba kuwasilisha
hapna kwa sasa Mange ana influency kubwa kuliko mtu yeyote hapa Tanzania. Na kwa Tanzania ya sasa Mange ndio chaguo sahihi kabisa
Akiwa raia namba 1, si atakuwa na washauri wa mambo mbali mbali kwa hiyo atabadilika tu ondoa shaka
Anafaa kuwaongoza ccm kuliko kiongozi wenu bavichakwa hiyo wewe unaonaje Mange hatufai kutuongoza, ana uwezo, elimu, utashi,
Sio kuliko mkuluMi namuona Mange ni bora zaidi kuliko Lisu
Yaani nyumbu mmoja akiingia mtoni woote wanaingia, Chama chenye watu wanaotakaka Mange awe rais wao eti nao wanataka kuongoza nchi. Akili kama kenge.Naweza jikuta nimejibu nikapigwa Ban ngoja nicheke tu.
Hili wazo siyo la watanzania ni la nyumbu mmoja na wenzake wanafuata tu hii ni tabia ya hao wanyama mmoja akiingia mtoni woote wanafuata hata kama kavutwa na mamba.Watanzania bwana, hili nalo na wazo umeona linafaa kutushirikisha?
Hili wazo siyo la watanzania ni la nyumbu mmoja na wenzake wanafuata tu hii ni tabia ya hao wanyama mmoja akiingia mtoni woote wanafuata hata kama kavutwa na mamba.