Billie
JF-Expert Member
- Aug 13, 2011
- 12,716
- 19,848
Yule sio kama anajua kila kitu huwa anarushiwa informations na kuzipost so msifie anaemrushia infors yule kinachompa credit ni kujibanza ughaibuni.Sijawahi kumkubari huyu dada.Duh kwa hiyo we humkuabali Mange