<font color="#000080"><b>sasa kunashida gani kupenda watu? sio wanne tu wapende watu wote, inamaana hata mama yako na baba yako pia huwapendi?<br />
<br />
By the way, next time unapo omba ushauri, be specific, Sawa bwana mdogo? eheee.</b></font>
Mbona rahisi chagua unayempenda na anayekuridhisha kuliko wote. Halafu jiulize wewe ni unapenda nini pia? Kama unapenda .... mpende wa .... hali kadhalika hivyo hivyo, utampata tu. Au ukishindwa nipende mimi tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe lakini sharti usiwe nje ya nchi.
Mbona rahisi chagua unayempenda na anayekuridhisha kuliko wote. Halafu jiulize wewe ni unapenda nini pia? Kama unapenda .... mpende wa .... hali kadhalika hivyo hivyo, utampata tu. Au ukishindwa nipende mimi tehe tehe tehe tehe tehe tehe tehe lakini sharti usiwe nje ya nchi.
kupendana sasa kumekuwa kama kula njugu ambazo hujui zimelimwa wapi, kuvunwa wapi na zilitunzwaje...............kazi ni kutafuna tu tumbo litajijua....................lenyewe.............