Napenda wanawake watu wazima

No. Nimesema ninachokipenda na pia mpunguze kuvunja moyo watu kama mimi wenye interest zao. Badilikeni kwa nyakati
Sababu ya kutwambia hivyo ni nini hasa maana sijaona ukimaliza kwa kuomba ushauri unataka sisi watu wazima tukufikirieje
 
zile drama za muda wa kazi...nyie full kuchat tu, mara emoji za maua etc, no way. We talk after work, meet for dinner, then go rest....very calm and professional and maturely.
BTW hatupaswi kuingilia uhuru wako,hayo ni maisha yako na uko na amani nayo. Sema nini mkuu humu jamvini watu wengi ni fake mpaka kwenye comments.
Mapenzi ya kuombana kiepe nayo...dah!hata mie siyawezi. Nataka mtu tunaepanga vitu vya maana kidogo.
 
BTW hatupaswi kuingilia uhuru wako,hayo ni maisha yako na uko na amani nayo. Sema nini mkuu humu jamvini watu wengi ni fake mpaka kwenye comments.
Mapenzi ya kuombana kiepe nayo...dah!hata mie siyawezi. Nataka mtu tunaepanga vitu vya maana kidogo.
Sentensi yako ya mwisho imenifurahisha.
 
jaman nimejikuta nacheka sana!vip huon kinyaa kuona mastretchmark kwa tumbo?,
Maumbile yake kiafya yanaathirije mapenzi bedroom kwa mfano? labda wewe utakuwa na matatizo ya nguvu za kiume. Binafsi streches naziona huwa zinanongezea hamu...
 
Sababu ya kutwambia hivyo ni nini hasa maana sijaona ukimaliza kwa kuomba ushauri unataka sisi watu wazima tukufikirieje
Mfikirie kwamba, wanawake watu wazima na watamu hasa akikutana na kijana kuliko mtu mzima mwenzake anayetegemea viagra.
 
Nyinyi ndiyo mnaotukosea adabu mnafikiri wore ni ma auntie wa kugegedwa
No hujanielewa. Kwanza huwa kuna kuheshimiana kukubwa sana...na tukiwa bedroom mapenzi hufata protocal zote...I mean utu uzima wake unakaa pembeni, anakuwa-treated kama mwanamke yeyote yule.
 
Na mvi za kitumbua unaziangalia au inakuwa ni wakati wa giza tu! Hongera sana ila umarioo una mwisho. Angalia jinsi ambavyo Dai anajaribu kujinasua inavyokuwa karaha. Mwanaume huwa tunachukua dogodogo tu. Una miaka 70 unachukua binti miaka 18. Hapo ndipo unajiona dume hasa si una miaka 18 unachukua mabibi kama Kasie unajina mjanja. Unabemendwa na kuzamishwa chumvini tu
 
Kuna baba mmoja jiran yetu kipind anasema tangu kijana mdogo hajawah date na mwanamke aliyemzidi umri ,,na hajawahi penda msichana mwenye umri mdogo kwake kabisa

Ktk kuhoji zaid tuligundua alilelewa na baba yake tu hakuwahi kupata ladha ya mama wala mlezi wa kike ,,,so alikuwa anahitaji lile penzi la kufanya kama mtt(sijui nielezee vipi ieleweke) Je ?? Na ww ulilelewa bila mama??

Mf. Mm sijawahi penda kijana pia ,, nilihitaj aliyonizid miaka haswa nilikuw anahis niko sehem salama zaidi

Kuna wajinga humu watakupa maneno ya kijinha zaid ila baki na msimamo wako
 
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Waikato wewe unawaza mwimbo Moyà wa Diamond meenzako anawaza mirathi ya mume wake
Rekebisha spelling

Sidhani kama kaelezea mmama mtu mzima kiasi hicho , kasema 5 yrs. etc. Je huyu anakuwa tayari keshaanza kuwaza mirathi ya mumewe?? Tumuwache awe huru .....
 
Mwanamke mtu mzima anayejitambua anakuwaje na mvi za kitumbua? au ninaposema mtu mzima unadhani hata mwehu wa barabarani? Hoja yangu ni palepale...mtu mzima unapofanya nae mapenzi kuna raha kuliko kabinti...kenyewe katafeki utamu, kumbe kanawaza umalize ukape chake kaondoke kaende kwa mwingine.
 
Rekebisha spelling

Sidhani kama kaelezea mmama mtu mzima kiasi hicho , kasema 5 yrs. etc. Je huyu anakuwa tayari keshaanza kuwaza mirathi ya mumewe?? Tumuwache awe huru .....
5 yrs na kuendelea...hadi 10 hivi pia sio mbaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…