Napenda wanawake watu wazima

Napenda wanawake watu wazima

Kheri Hansen

JF-Expert Member
Joined
Jan 20, 2018
Posts
1,025
Reaction score
1,241
Binafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje.

Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.

Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.

The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimiss because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.

I love these matured ladies!

[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
 
He he he
Watoto wa mwisho kuzaliwa(vitinda mimba) mna matatizo sana, full kupenda kubebishwa bebishwa na simple life.

Kwa mwanaume kushiriki zinaa na mtu aliyekuzidi umri ni sawa na kuwa na urafiki na shetani la ziwani wanaliita chunusi.

Yaani unanyonywa damu dogo.
 
Binafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje🙂

Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale...at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.

Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.

The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimisi...because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.

I love these matured ladies!!!
[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
Umarioo unakusumbua. Utajuaje alivikosa akiwa kijana!!! Acha usifiwe siyo kujisifia
 
Umarioo unakusumbua. Utajuaje alivikosa akiwa kijana!!! Acha usifiwe siyo kujisifia
Na hilo neno marioo au ben 10 nimekumbana nalo sana kila ninaemsimulia upande wangu wa mahusiano...mimi moyoni huwa naona halinihusu, ni mtu tu kaamua kuniita hivyo.

Ninanvyojua marioo ni mpenzi wa umri mdogo ambae anamtegemea kichumi mpenzi wake wa kike, yaani kutegema sio shida ila hafanyi kazi kabisa, yeye anahudumia penzi tu🙁
 
He he he
Watoto wa mwisho kuzaliwa(vitinda mimba) mna matatizo sana, full kupenda kubebishwa bebishwa na simple life.

Kwa mwanaume kushiriki zinaa na mtu aliyekuzidi umri ni sawa na kuwa na urafiki na shetani la ziwani wanaliita chunusi.

Yaani unanyonywa damu dogo.
Mkuu, mimi kwetu ni wa kwanza/first born, pia najitegemea...yaani nina elimu yangu na kazi yangu etc. Utasemaje napenda simple life na kubebwa bebwa?? unaposema kwa mwaumne kushirika zinaa...(mimi naitwa mahusinao) na aliyekuzidi umri ni ufirauni, nadhani hizo ni fikra za kimira, za kale na za kiafrica.
 
Umarioo unakusumbua. Utajuaje alivikosa akiwa kijana!!! Acha usifiwe siyo kujisifia
Ok, anaweza kuwa hakuvikosa, lakini mimi nam-take back to memories...namkumbushia....huwa inanoga sana na wengi hupenda!! Kuna diplomat alisafiri kutoka (mji siutaji maana yuko humu), ananizidi 10 years japo kimownekano bado sio mzee....it was a greatest night for us!!
 
Binafsi, huwa napenda sana kudate mwanamke mtu mzima. Nadhani ni kwasababau girlfriend wangu wa kwanza alikuwa mtu mzima, yaani alinizidi umri. They have this kind of taste to me, yaani sijui hata niielezeeje🙂

Huwa napenda vile ninavyoongea nae, ile feeling kwamba I'm reasoning with a matured person, ile heshima anayonipa ya kusikiliza mawazo yangu, na hata ule ushirikiano wa hapa na pale...at the end of the day; kuna kuwa hakuna tofauti ya yeye kunizidi umri. I mean by numbers ni kweli anaweza kuwa over 5 or 6 etc, but between us, hakuna ile sense tena au ule mgawanyo kwamba flani ni mkubwa, bwana wangu ni mdogo, etc.

Na huwa tuna blend in vizuri sana. Hata kwenye kuachana, penzi hilo ndo huwa linaniuma zaidi na kubakisha memories nyingi kuliko la binti rika langu.

The most good part ya penzi hili; huwa ni yeye kama mtu mzima, wakati wa romance/bedroom, nampa vitu ambavyo ujanani alivimisi...because of course mimi ni kijana, hivyo nampa penzi la ujana. Pia mimi kwangu anakuwa unique, kwasababu napata fursa ya kuonja mambo ya kiutu uzima.

I love these matured ladies!!!
[HASHTAG]#SpeakingMyMind[/HASHTAG]
KUMBE TUKO WENGI NLIJUA NI MM MWENYEWE!! wanawake watu wazima RAHA SANA
 
Mapenzi raha take u date age mate wako, haya mambo ya kukaa na watu wazima Waikato wewe unawaza mwimbo Moyà wa Diamond meenzako anawaza mirathi ya mume wake


hhaahahahahahhahahahhahahahhahahahahaaa umeua sana aiseee !mwezake anawazia ugumu wa ndoa yake kenyewe kamekazana kukuomba picha !mara kakuweke kwa dp !eisssshhh
 
Back
Top Bottom