T Tozii Nyambii Senior Member Joined Apr 1, 2017 Posts 144 Reaction score 77 Aug 18, 2017 #1 Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu.....
Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu.....
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,401 Aug 18, 2017 #2 Tozii Nyambii said: Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu..... Click to expand... Nenda kawachukue uwaoe.. Nikupe contacts za huyu?
Tozii Nyambii said: Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu..... Click to expand... Nenda kawachukue uwaoe.. Nikupe contacts za huyu?
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Aug 18, 2017 #3 Nawe mfupi?
leiguanan JF-Expert Member Joined Jun 24, 2017 Posts 618 Reaction score 1,905 Aug 18, 2017 #4 Weka hata kapicha basi amigo nasisi tumeze hata mate...
wax JF-Expert Member Joined Jun 14, 2015 Posts 5,940 Reaction score 5,751 Aug 18, 2017 #5 Tozii Nyambii said: Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu..... Click to expand... Acha ujinga Sent using Jamii Forums mobile app
Tozii Nyambii said: Habari za jioni wana JF Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu..... Click to expand... Acha ujinga Sent using Jamii Forums mobile app
Sky Eclat JF-Expert Member Joined Oct 17, 2012 Posts 58,636 Reaction score 220,353 Aug 18, 2017 #6 Unapenda mini cooper sio.
T Tozii Nyambii Senior Member Joined Apr 1, 2017 Posts 144 Reaction score 77 Aug 18, 2017 Thread starter #7 Asprin said: Nenda kawachukue uwaoe.. Nikupe contacts za huyu? Click to expand... Huyu ana futi 4.5
T Tozii Nyambii Senior Member Joined Apr 1, 2017 Posts 144 Reaction score 77 Aug 18, 2017 Thread starter #8 Evelyn Salt said: Nawe mfupi? Click to expand... Hapana Mimi Nina futi 6.2
T Tozii Nyambii Senior Member Joined Apr 1, 2017 Posts 144 Reaction score 77 Aug 18, 2017 Thread starter #9 Sky Eclat said: Unapenda mini cooper sio. Click to expand... Ndo na vitz pia
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,401 Aug 18, 2017 #10 Evelyn Salt said: Nawe mfupi? Click to expand... Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali...
Evelyn Salt said: Nawe mfupi? Click to expand... Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali...
S Steinar Senior Member Joined Aug 11, 2017 Posts 109 Reaction score 380 Aug 18, 2017 #11 Kuwa makini nao sana, nasikia wengi wao ni watu gubu na wivu uliopitiliza kwa sababu ya kutojiamini kwao.
Kuwa makini nao sana, nasikia wengi wao ni watu gubu na wivu uliopitiliza kwa sababu ya kutojiamini kwao.
Evelyn Salt JF-Expert Member Joined Jan 5, 2012 Posts 77,105 Reaction score 165,329 Aug 18, 2017 #12 Asprin said: Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali... Click to expand... Ana kimini si eti eeh
Asprin said: Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali... Click to expand... Ana kimini si eti eeh
likandambwasada JF-Expert Member Joined May 27, 2015 Posts 5,402 Reaction score 6,086 Aug 18, 2017 #13 MAMBO YA VITZ ITAKUWA NA WEWE MFUPI
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,401 Aug 18, 2017 #14 Evelyn Salt said: Ana kimini si eti eeh Click to expand... Ewaaaa... fast learner!!
T Tozii Nyambii Senior Member Joined Apr 1, 2017 Posts 144 Reaction score 77 Aug 18, 2017 Thread starter #15 Asprin said: Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali... Click to expand... Inawezekana uko sahihi
Asprin said: Atakuwa ana maumbile mafupi... Nadhani umenielewa, sitegemei swali... Click to expand... Inawezekana uko sahihi
Asprin Platinum Member Joined Mar 8, 2008 Posts 68,273 Reaction score 96,401 Aug 18, 2017 #16 Tozii Nyambii said: Inawezekana uko sahihi Click to expand... Mi siku zote niko sahihi kama wazee wa Kolomije...
Tozii Nyambii said: Inawezekana uko sahihi Click to expand... Mi siku zote niko sahihi kama wazee wa Kolomije...
kycheneke Member Joined Nov 3, 2016 Posts 68 Reaction score 34 Aug 18, 2017 #17 Hata mimi nawakubali sana wanawake wafudi tatzo bahat nao sina Sent using Jamii Forums mobile app
ElPuto Jefe JF-Expert Member Joined Oct 16, 2015 Posts 5,286 Reaction score 19,463 Aug 18, 2017 #18 Wooooi mwanamke mfupi sivutiwi nae, mambo ya kupindishana mgongo nani anataka.. Mwanamke angalau mwisho wa ufupi wake uwe kwenye kifua changu...
Wooooi mwanamke mfupi sivutiwi nae, mambo ya kupindishana mgongo nani anataka.. Mwanamke angalau mwisho wa ufupi wake uwe kwenye kifua changu...
Nokia83 JF-Expert Member Joined Jan 16, 2014 Posts 24,643 Reaction score 44,371 Aug 18, 2017 #19 Water dispenser
Mother Confessor JF-Expert Member Joined Jan 7, 2016 Posts 18,682 Reaction score 45,597 Aug 18, 2017 #20 Evelyn Salt said: Nawe mfupi? Click to expand... Ni mfupi huyu hana lolotee anajifariji tuu hapa.