Napenda wanawake wafupi

Tozii Nyambii

Senior Member
Joined
Apr 1, 2017
Posts
144
Reaction score
77
Habari za jioni wana JF
Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana

Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu.....
 
Habari za jioni wana JF
Jamani Mimi nampenda mwanamke mfupi kuanzia futi 4.5 ,mpaka 5.5 yaani nikimuona mwanamke mwenye kimo hicho huwa nafrahi saana

Inasemekana wanawake wengi wafupi wana kishuu.....
Nenda kawachukue uwaoe..

Nikupe contacts za huyu?
 
Weka hata kapicha basi amigo nasisi tumeze hata mate...
 
Wooooi mwanamke mfupi sivutiwi nae, mambo ya kupindishana mgongo nani anataka..

Mwanamke angalau mwisho wa ufupi wake uwe kwenye kifua changu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…