screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,792
- 15,693
Niliwahi kusikia mtandao wa kijamii pekee anaoingia huyu jamaa ni WhatsAPP, mitandao mingine kuna watu maalumu wanaicontrol, nampa hongera admin wa IG page yake, ukiingia kwenye page yake utaona upekee tofauti na page za mastaa wengine wa Africa, it's very professional.
Hutaona sijui vijembe, birthday wishes, na upuuzi mwingine, yeye anaweka kazi tu na tarehe za show, kama akiweka picha ya show/clip basi ni moja tu, hapa bongo kina Diamond, Harmonize, n.k wakifanya show moja kubwa basi tutawekewa clip 20 na vijembe juu, sijui ushamba wa show,
kila wimbo wakitoa wanaweka clip 50 za mashabiki wakicheza, yaani ukikaa wiki ujaingia kwenye page zao unakutana na post 100 mpya, hivi tunakwama wapi jamani?
Hutaona sijui vijembe, birthday wishes, na upuuzi mwingine, yeye anaweka kazi tu na tarehe za show, kama akiweka picha ya show/clip basi ni moja tu, hapa bongo kina Diamond, Harmonize, n.k wakifanya show moja kubwa basi tutawekewa clip 20 na vijembe juu, sijui ushamba wa show,
kila wimbo wakitoa wanaweka clip 50 za mashabiki wakicheza, yaani ukikaa wiki ujaingia kwenye page zao unakutana na post 100 mpya, hivi tunakwama wapi jamani?