talentboy
JF-Expert Member
- Jul 8, 2011
- 2,101
- 2,051
Habari wadau,
Leo nimeona niseme chochote kuhusiana na huyu jamaa Msami...napenda sana style ya nyimbo zake plus mitindo yake ya kudance kwenye video zake.
Jamaa ana style flani hivi ya kipekee kuanzia uimbaji hadi uchezaji...ni touches ambazo huzikuti kwa msanii mwengine ila yeye tu..ni mbunifu kiaina na akiendelea hivi na kuwa mbunifu zaidi,huku akiachia hits basi namtabiria makubwa mbeleni..only akiwa serious kwenye kile anachokifanya.
Kinachonifurahisha zaidi ni kwamba kwenye video zake nyiiingi lazima umuone Dogo yeyote ama wa Kike au Kiume anavunja zile style zake za kucheza...wale madogo huwa wanaongeza ladha kwenye video though huwa vipande vyao ni vifupi sana.
Baadhi ya ngoma zake ni hizi hapa.
Leo nimeona niseme chochote kuhusiana na huyu jamaa Msami...napenda sana style ya nyimbo zake plus mitindo yake ya kudance kwenye video zake.
Jamaa ana style flani hivi ya kipekee kuanzia uimbaji hadi uchezaji...ni touches ambazo huzikuti kwa msanii mwengine ila yeye tu..ni mbunifu kiaina na akiendelea hivi na kuwa mbunifu zaidi,huku akiachia hits basi namtabiria makubwa mbeleni..only akiwa serious kwenye kile anachokifanya.
Kinachonifurahisha zaidi ni kwamba kwenye video zake nyiiingi lazima umuone Dogo yeyote ama wa Kike au Kiume anavunja zile style zake za kucheza...wale madogo huwa wanaongeza ladha kwenye video though huwa vipande vyao ni vifupi sana.
Baadhi ya ngoma zake ni hizi hapa.