Administer
JF-Expert Member
- Feb 9, 2020
- 930
- 1,408
Napenda kusema kile kilichoko moyoni mwangu.
Nimetokea kuichukia CCM kwa sababu mbalimbali.
Naiombea mabaya CCM kila kukicha najua Mwenyezi Mungu ipo siku atasikia kilio changu.
Ninapona mtu yeyote anaidhoofisha CCM namuunga mkono hata kama yumo ndani ya CCM kwani anaongeza nguvu upinzani.
Tusiwaogope wanaohama au kufukuzwa CCM na kuingia upinzani kwa lengo la kuiangusha CCM.
Uchaguzi mkuu wa 2015 Lowasa aliwahenyesha CCM hadi leo wanamakovu.
Tumpokee Membe upinzani aongeze nguvu upinzani CCM ife hata kwa kuwatumia waliokuwa CCM au wasiokuwa
Nimetokea kuichukia CCM kwa sababu mbalimbali.
Naiombea mabaya CCM kila kukicha najua Mwenyezi Mungu ipo siku atasikia kilio changu.
Ninapona mtu yeyote anaidhoofisha CCM namuunga mkono hata kama yumo ndani ya CCM kwani anaongeza nguvu upinzani.
Tusiwaogope wanaohama au kufukuzwa CCM na kuingia upinzani kwa lengo la kuiangusha CCM.
Uchaguzi mkuu wa 2015 Lowasa aliwahenyesha CCM hadi leo wanamakovu.
Tumpokee Membe upinzani aongeze nguvu upinzani CCM ife hata kwa kuwatumia waliokuwa CCM au wasiokuwa