musa ramadhani
Member
- Dec 28, 2020
- 13
- 20
Wakuu habari za leo nilikuwa naomba kwa mwenye kuwa na connection ya watu wa magari ya IT msaada jamani, napenda kujiunga katika kazi hiyo.
Habali?Wakuu habali za leo nilikuwa naomba kwa mwenye kuwa na connection ya watu wa magari ya it msaada jamani napenda kujiunga katika kazi hiyo
Muone Mzee mmoja anaitwa Mshenzi yupo pale Kizi HoteliWakuu habali za leo nilikuwa naomba kwa mwenye kuwa na connection ya watu wa magari ya it msaada jamani napenda kujiunga katika kazi hiyo
Asije akamfanyia ushenzi mtoa madaMuone Mzee mmoja anaitwa Mshenzi yupo pale Kizi Hoteli
TobaAsije akamfanyia ushenzi mtoa mada
Sio kazi nzuri sana basi sometimes kunakuwa hakuna option. Hata mojawapo katika wale makomandoo baada ya kuachishwa alifanya udereva wa IT hadi alipopata kazi iliyo bora zaidi akaachana na IT. Tujifunze kwa waliotangulia.Wakuu habali za leo nilikuwa naomba kwa mwenye kuwa na connection ya watu wa magari ya it msaada jamani napenda kujiunga katika kazi hiyo
Mwamba hajui hata kuandika, et habaliHabali?
Nashukuru sana kwa ushauri wakoSio kazi nzuri sana basi sometimes kunakuwa hakuna option. Hata mojawapo katika wale makomandoo baada ya kuachishwa alifanya udereva wa IT hadi alipopata kazi iliyo bora zaidi akaachana na IT. Tujifunze kwa waliotangulia.
Mwamba hajui hata kuandika, et habali
komandoo wa jeshi alikuzwa na komandoo mwenzieee ....... baadae mleta mada nae anakuwa Mshenzi kabsaaaaAsije akamfanyia ushenzi mtoa mada
Duuuh!!komandoo wa jeshi alikuzwa na komandoo mwenzieee ....... baadae mleta mada nae anakuwa Mshenzi kabsaaaa
Kazi nzuri Ni ipi Dada?Sio kazi nzuri hoyo roho mkononi
Ahsante sana nimefanikiwa kufika katika maeneo ya mataa ya chang'ombe jirani na kituo cha mafuta cha oil com lakini madereva waliopo pale wengi hawana lugha nzuri hila nitafika pia apo posta majibu nitakayo pata apo pia nitatoa mrejesho shukran sanaKama huko DAR, Nenda pale posta karibu na jengo la nssf zamani ukianza kuulizia pale utapata mwaga kidogo. Au nenda mataa ya chang’ombe jirani na kituo cha mafuta cha oilcom ukiianza kuulizia pale utapata mwaga.
Hili ndilo tatizo letu watanzania wengi tuna kuwa na roho za kichawi chawi tu!!yaani ukimkuuliza mtu utaratibu wa kupata kazi sehemu alipo yeye, ni wachache sana wanaoweza kukupa muongozo, yeye anajua kuwa labda utafanikiwa yeye atoke hapo!!na ndio maana hata huko ulaya , utakuta mataifa mengine kama kenya, nigeria na nchi nyingi za west afrika wanapeana michongo , tu, lakini wabongo ataanza kukutisha, ohh hata mimi unajua maisha ya huku yamenishinda nataka nirudi tu home, wewe bora ukomae tu huko huko, huku ni hatari kwa maisha yako,Ahsante sana nimefanikiwa kufika katika maeneo ya mataa ya chang'ombe jirani na kituo cha mafuta cha oil com lakini madereva waliopo pale wengi hawana lugha nzuri hila nitafika pia apo posta majibu nitakayo pata apo pia nitatoa mrejesho shukran sana
Ni wale madreva wanaopeleka magari nchi za jirani kutoka bandarini.Madereva wa IT wanahusika na nini?