Naomba kujua changamoto za kufunga Turbocharger kwenye gari

chilubi,
Unaona Sasa!!!

Tangu lini supercharger ime outsmart turbocharger?
Hivi unafahamu vizuri Vgt, umeshawahi kufuatilia ufanisi wake?

Unaweza kweli kulinganisha turbo za Sasa na supercharger?
Supercharger ilikuwa popular miaka ya nyuma kwa kuwa ilikuwa ni challenge kupata turbo blades ambazo zinastahmili exaust temperature ,hasa kwenye engine za petroli ambazo kiuhalisia zinatoa joto Kali Sana kwenye outlet manifold, baadaye wakagundua titanum blades , ndo ukawa mwisho wa supercharger.

Supercharger unayoisifia haikuwa popular kwenye diesel engine kwa kuwa mosi ,turbo illikuwa haiitaji special blades , hi ni kutokana nakuwa diesel engine hazitoi joto Kali kwenye exaust manifold.

Pili supercharger , Kama altenator, ,power steering ,ac compressor , zina tabia ya kuchukua nguvu ,ya engine , kwa hiyo ilkuwa proved beyond doubt kuws kutumia supercharger hakuleti maana Sana.kwa kuwa engine inatumia baadhi ya nguvu ilizozalisha kuendesha supercharger badala ya kutoa full power output.

Mkuu unajua vitu ila uko rough Sana kwenye kuelezea , supercharger, ni Kama air compressor, kweli inakuwa na very rapid response , lakini as rpm raises ,more air is being compressed inakuwa ni mzigo mzito ambao engine inatakiwa Tena iubebe, badala ya kupeleka nguvu zote kwenye drive train , nguvu nyingine zinapelekwa kwenye kuzungusha supercharger! Turbo kwa upande mwingine inaweza kweli isiwe na rapid response, lakini yenye we inatumia free energy from exaust pipe ,
 
t blj,
Mkuu kwani kuna mahala nimesema turbo haipo on ikiwa engine imewashwa? Kwani ukiwasha gari speedometer inakuwa off? Try to understand mkuu.

Ukiwasha engine, turbo inastay on, wakati pale inapokaa on inasukuma hewa mdani, lakini hewa hio haitoshi kuleta boost kwa sababu huwa ni kidogo kuliko ile inayoingizwa na engine intake yenyewe. Kama inaingia hewa zaidi wakati una idle, manake ecu itapump more fuel inside ili kuweka proper balance, na iki add more fuel utaona kwenye gauges zako rpm ina increase than mormal, kwa sababu concept yote ya power ina rely kwenye fuel and air mixture. Sasa je, kwenye hio gari yako inayokuonesha pressure gauge ya turbo yako, rpm wakati una idle haipo normal?

We huoni hata rpm meter gari haijatembea lakini inakuonesha kama engine iko 750 na umeweka parking? Kwa vile turbine za turbo zinazunguka, ni lazima, lazima kwenye pressure gauge isome tu, na the moment umeweka engine on, instrument cluster zote zipo on!
 
t blj,

:nakuna kichwa: mana we na jamaa sijui mnani quote vipi?

Hio post uloiquote nioneshe sehemu ambayo nimesema kuwa supercharger ime outsmart turbo, hivi mwishoni mwa post hujaona faida ya turbo mbele SC nlokuwekea? Aliekwambia SC mambo za zamani nani? Range Rover wanaitumia vizuri tu. Pia kama umepitia post vizuri utaona nimesema kuwa SC inategemea mashine. Sasa wewe ukieka same car same power SC na TC, we fikra zako nani atamuacha mwenzake apo? Maana SC from lower rpms tayari una gain more power, wakati mwenye TC anabuild up enough power to get more air in!

Huwezi kufananisha TC za sasa na SC za zamani, hio sio fair comparison. Uzuri wa TC ni ipo efficient, efficient kwenye ulaji wa mafuta na mazingira, SC haipo efficient, engine inakuwa ipo katika mzigo kuzungusha SC, inahitaji more power, kupata more power iingize more Air na more fuel, kisha while driving, who needs boost while driving in traffic? Inapoteza mafuta bure kwa sababu you dont need the boost ukiwa kariakoo. Lakini hata hivo, the new range rover models fuel consumption ni much better kuliko mark 2 pamoja na kuwa na big displacement na SC!
 
Na akina AUDI supercharger at idle inaprpvide full boost!! Sijui kama washaanza kutumia kwenye production au ndio wanafanya testing tu. This to show how much SC is given more attention
 
Gari zote huwa zinategemea vacuum inayojitengeneza kwenye engine ili kuvuta hewa.. Jambo hili kwa kuwa ni tendo la hiyari basi hewa huchelewa kujaa kwenye engine kitendo kinachosababisha gari kuwa na guvu kidogo.. Turbo ni pampu inayozungushwa na moshi wa injini kujaza hewa safi kwenye injini na kulazimisha mlipuko wa ndani wa haraka...
I see!
Tunatembelea bila kujua
 
Hata mimi sio mjuzi wa magari ila Volvo kwenye gari zao mpya kuanzia mwaka 2015 zina engine ya cc 2000 with super charger + turbo. Super charger inatumika kwa ajili ya low rpm wakati turbo inatumika kwenye high rpm.
 
Gari zote huwa zinategemea vacuum inayojitengeneza kwenye engine ili kuvuta hewa.. Jambo hili kwa kuwa ni tendo la hiyari basi hewa huchelewa kujaa kwenye engine kitendo kinachosababisha gari kuwa na guvu kidogo.. Turbo ni pampu inayozungushwa na moshi wa injini kujaza hewa safi kwenye injini na kulazimisha mlipuko wa ndani wa haraka...
Asante sana mkuu maana jibu lako lipo kwenye takribani 80% tofauti na wale waliojibu hapo awali.The issue is air in combustion chamber.

Turbo hufanya kazi ya kuchochea hewa safi(intake) katika injini huku upande wa pili ikitupa hewa chafu(exaust) ili kitengeneza mgandamizo mkubwa katika kona ya mgandamizo(combustion chamber).Pia kuna kitu kiitwacho intercooler ambacho pia huweza kufanya kazi sambamba na turbo N why there is something called turbo intercooler.Hivi ndivyo nijuavyo mimi kwa uelewa wangu.
 
chilubi,
Unajua nilianza kukoment kabla sijakutana na hii shule yako? Am sorry for that bro.Upo vizuri!Endelea kutuelimisha.
 
Ahaaa, kwamba injini inachanganya kwa haraka zaidi towards top speed ya gari husika. Ok nimeelewa mkuu.

Mfano kukawa na Vits mbili same model, same engine capacity. Vits X ikafungwa turbo. Vits Y haina turbo.

So hapo mwenye Vits X atamuacha mbio huyo mwenye Vits Y. That's it?

-Kaveli-
Na kwa mtindo huo Vitz X itakula mafuta zaidi ya Vitz Y
 
chilubi, p
Kwa nini hukuongelea supercharger mapema? Naoma mmebishana muda mrefuuu, kumbe jibu unalo. Hayo maelezo ni sahihi kabisa. Turbocharger inategemea exhaust gases of which a low rpm zinakua kidogo so ile turbine haizunguki kwa speed kubwa ya kusababisha hewa nyingi iingie kwenye engine. Jamaa maelezo yake yako zaidi kwenye supercharger naona.
 
Kwa nini hukuongelea supercharger mapema? Naoma mmebishana muda mrefuuu, kumbe jibu unalo. Hayo maelezo ni sahihi kabisa. Turbocharger inategemea exhaust gases of which a low rpm zinakua kidogo so ile turbine haizunguki kwa speed kubwa ya kusababisha hewa nyingi iingie kwenye engine. Jamaa maelezo yake yako zaidi kwenye supercharger naona.
Nimepata tabu kumuelezea jinsi turbo inavokosa kufanya kazi ukiwa in low rpms. Watu hawafahamu nguvu ya uvutaji hewa kwenda kwenye mashine bila, wanafikiri ni nguvu ndogo kiasi ukipuliza eti waweza ingiza hewa zaidi.

Nimejaribu kuwa very simple kwenye explaination on when a turbo have effects, kama umepitia posts za nyuma utaona nilimtolea mdau mfano kwa kutumia lugha nyepesi tu, kuwa kama engine inanguvu 10 ya uvutaji hewa, unahitaji turbo iwe na nguvu 10.1+ ili turbo iwe na effect. Pia ndio nikaona nizungumzie supercharger ili afahamu pia kuwa SC ndio inaprovide power kwenye low rpms unless kwenye turbo uweke boost controller atleast.

Natumai atakuwa ameelewa concept
 
Unaeza funga turbo kwenye 1GE kavu??
Umekusudia 1GFE kavu au 1GEU?
Anyways lazima utizame malengo yako ni yapi? Unataka power gain kiasi gani? Kufunga turbo ni gharama na saa nyengine inaonekana ni nonsense! Mfano kama ni 1GFE kavu ambayo power yake ni 135HP, jaalia umefunga turbo ya 50HP ambapo kufunga na mapping kila kitu pengine ikakucost hadi 6million kuifanya gari iwe na 185HP!! Huku ndo kupoteza pesa kwenyewe wakati kwa milioni 2 ungepata 3SGE ambayo ingekupa 205HP!! Kwa ushauri wangu forget about turbo charging 1Gfe, kama pesa unazo atleast tafuta 1GGTE toa pachika (easy swapping for 1G cars)
 
Umekusudia 1GFE kavu au 1GEU?
Anyways lazima utizame malengo yako ni yapi? Unataka power gain kiasi gani? Kufunga turbo ni gharama na saa nyengine inaonekana ni nonsense! Mfano kama ni 1GFE kavu ambayo power yake ni 135HP, jaalia umefunga turbo ya 50HP ambapo kufunga na mapping kila kitu pengine ikakucost hadi 6million kuifanya gari iwe na 185HP!! Huku ndo kupoteza pesa kwenyewe wakati kwa milioni 2 ungepata 3SGE ambayo ingekupa 205HP!! Kwa ushauri wangu forget about turbo charging 1Gfe, kama pesa unazo atleast tafuta 1GGTE toa pachika (easy swapping for 1G cars)
Nimekusoma..
 
Turbo inaongeza nguvu ya gari katika maeneo ya milimani,, na gari kuwa na mwendo mkali,, ukitaka kujua panda gari kama coaster angalia sehemu za milimani inakimbia itafikiri tambarale
 
Umekusudia 1GFE kavu au 1GEU?
Anyways lazima utizame malengo yako ni yapi? Unataka power gain kiasi gani? Kufunga turbo ni gharama na saa nyengine inaonekana ni nonsense! Mfano kama ni 1GFE kavu ambayo power yake ni 135HP, jaalia umefunga turbo ya 50HP ambapo kufunga na mapping kila kitu pengine ikakucost hadi 6million kuifanya gari iwe na 185HP!! Huku ndo kupoteza pesa kwenyewe wakati kwa milioni 2 ungepata 3SGE ambayo ingekupa 205HP!! Kwa ushauri wangu forget about turbo charging 1Gfe, kama pesa unazo atleast tafuta 1GGTE toa pachika (easy swapping for 1G cars)
correction- 1jz-gte
 
Back
Top Bottom