othuman dan fodio
JF-Expert Member
- Jan 2, 2018
- 5,673
- 9,072
Msuya loading......
Raha ya milele akupe bwana
Na mwanga wa milele umuangazie...Raha ya milele akupe bwana
Ni makabila mawili tofauti. In short hakuna kabila la wapare.Hivi kuna tofauti gani kati ya wapare na wagweno? Nilishawahi kua na mgweno, ni mzuri kinoma, mpole, mtu wa ibada halafu alikua ana mapenzi ya dhati sijawahi kuambiwa wala kuhisi anachepuka?
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting.
UPDATE January 2022
Shem yenu kashanasa. Ndoa imejibu
View attachment 1588961
Hongera kwa kupeleka mahari upareni mkuu,,
Lakini jiandae kugawana pachu pachu na wanaume wenzio,
Naammnene mauno kama yote
Malizia basi mfupi maji ya kunde
Kwa kweli wanawake wa masandare ni wapole na wachapa kazi kwelikweli afeli mwenyewe tu
Acheni kukatisha tamaa, mbona hata mimi nimeoa Mpare mwaka wa saba huu na twaishi bila shida?Chagua mke mcha mungu utaifurahia ndoa yako vzr
Duuh yani Mahari sh ngapi sasa??? Kuandaa sherehe tu mil 2Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Mshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Wapare watamu Sana
Ndoa Ni tamu sijutiiKaka hali ya ndoa yako ikoje tupe shuhuda ndg zako wakina [mention]dronedrake [/mention] pia watambue ndoa tamu
Wanawake wakipare hawana tofauti na wairaq, rest in peace broh.Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.
Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.
UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting.
UPDATE January 2022
Shem yenu kashanasa. Ndoa imejibu
View attachment 1588961
DuuhWanawake wakipare hawana tofauti na wairaq, rest in peace broh.