Napeleka Mahari Upareni - Maombi yenu

Hivi kuna tofauti gani kati ya wapare na wagweno? Nilishawahi kua na mgweno, ni mzuri kinoma, mpole, mtu wa ibada halafu alikua ana mapenzi ya dhati sijawahi kuambiwa wala kuhisi anachepuka?
Ni makabila mawili tofauti. In short hakuna kabila la wapare.

Wapare wamekuja baada ya wazungu kuunganisha kabila kama wasangi,waasu (sina hakika kwenye spelling zake), mkwizu etc.
Makabila hayo yote pamoja na wagweno walikuwa wanaishi jimbo linaloitwa pare.

Baada ya mzungu kufika jimboni, wagweno wakatoka jimboni pare na kuamia milimani kwa haraka ili wasidhibitiwe na wakoloni.

Hapo jimboni pare ndiyo asisi ya kabila tofauti kujikuta zinaitwa wapare.

Na jinsi African generation hatupo conscious kwenye kujua asili yetu. Hiki kizazi kipya kimeshapoteza historia ya asili yake.

Sources of information:
1. My elder (Baba)
2. Kitabu cha TIE History 3 & 4.
3. Wikipedia- asili ya wagweno.
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.

Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.

UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting.
UPDATE January 2022
Shem yenu kashanasa. Ndoa imejibu

View attachment 1588961

mnene mauno kama yote

Malizia basi mfupi maji ya kunde
 
Wakuu Nimefika Masandare Ni kijiji tulivu kabisa japo Kuna ukame Sana. Sasa Kilichonishangaza nilidaiwa hela ya kugharamia sherehe ya Leo nikatuma 2m Tsh. Kwa M-PESA wiki iliyopita. Sasa hapa Nashangaa msosi wanatuletea Makande na kinywaji Azam Cola. Daah! Ndugu zangu niliongozana nao wanasitika Sana. Mshenga kaniita chemba kuwa nisipaniki Wala kuleta vurugu ukweni.
Duuh yani Mahari sh ngapi sasa??? Kuandaa sherehe tu mil 2
 
Nimeamua kuoa binti wa kipare kutokea Kijiji Cha Masandare ( Same) hivi Leo tunaelekea huko kulipa mahari Kama sehemu ya mchakato.

Maombi yenu, nimekamatika kwa binti huyu Veronica mtoto wa kipare. Japo mnene mauno Kama yote naenjoy kiukweli.

UPDATE:
Nilituma 2m Tsh kuandaa sherehe ndogo ya kupokea mahari tumefika huku tunatishwa Makande. Disgusting.
UPDATE January 2022
Shem yenu kashanasa. Ndoa imejibu

View attachment 1588961
Wanawake wakipare hawana tofauti na wairaq, rest in peace broh.
 
Back
Top Bottom