sulphadoxine
JF-Expert Member
- Nov 1, 2010
- 2,257
- 645
Katibu wa halmashauri kuu ya taifa itikadi na uenezi wa CCM Nape ameitaka serikali iwachukulie hatua wanao kwepa kulipa kodi ikiwamo CCM wenyewe.
Alitoa kauli hiyo baada TRA kueleza kwamba chama cha CHADEMA hakijalipa kodi ya mishahara ya watendaji wake, tangu mwaka 1992.
Alitoa kauli hiyo baada TRA kueleza kwamba chama cha CHADEMA hakijalipa kodi ya mishahara ya watendaji wake, tangu mwaka 1992.