|
| |
|
Nape unasemaje hapo?
Ushauri wangu kwenu mkae kimya kwa kipindi hiki kigumu ambacho chama kinapitia.
Wengi wetu tumeanza kupima nakuona kuwa mna dharau kubwa mno kwa waliowapita umri kama
Lowasa, Dr Slaa na Chenge.Majibizano ya kutetea yasiyo wahusu wacheni, nawewe Riz1 kama hutaweza kumpeleka Dr(wa ukweli) mahakamani ukae kimya ili usifanye watu wakaona kama umefundishwa kiburi na chama au wazazi wako au yote mawili.W.Malecela acha vicheko vyako vya ha ha ha! wa tz wana fikiria na baba yako ana kujibu he he he, Nape sasa unaona Chenge amesafishwa bungeni wewe una mwita gamba?
USHAURI WANGU
mtulie kimya kama mabinti mabikira walivyo kuwa wanashauriwa (enzi hizo) na mabibi na makungwi zao usiku wa kuamkia ndoa kuwa kila kitu kita kuwa sawa na msihofie mume wako mpya, utamfurahia siku zote maisha.stahimili japo mnaumia.....just lay back and relax!