Uchaguzi 2020 Nape Nnauye, Uropokaji wako unakuponza sana. Aahidi kupiga watu Mabuti

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani?

Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi?
Huu sasa ni sawa na ujangili ikiwa hivi mikosi haitakiwi halafu wewe unavyo.
Acha kuropoka, kila mtu akisema ana kikosi chake patakalika?

Unataka kutuchafulia chama tulishakuonya unyamaze. CCM hatuna vikosi kama umaanishavyo wewe ispokua tuna chipukizi. Huo mdomo itatuletea matatizo.Huna mamlaka wala hadhi ya kuzuia vyombo vya umma kufanya kazi.

Ngoja ukatwe urudi mtaani ndio utajua, kwanza umetuhumiwa kugawa pesa nyakati za uchaguzi na ushahidi upo. Hakuna atakayekuonea huruma wakati huu. Kwanza kuna tetesi kua mnakutana na Membe kwenye hoteli zake usiku na unasubiri ukatwe uhamie ACT. Tulishakustukia kitambo sana
 
Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani?

Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi?
Huu sasa ni sawa na ujangili ikiwa hivi mikosi haitakiwi halafu wewe unavyo.
Acha kuropoka, kila mtu akisema ana kikosi chake patakalika?

Unataka kutuchafulia chama tulishakuonya unyamaze. CCM hatuna vikosi kama umaanishavyo wewe ispokua tuna chipukizi. Huo mdomo itatuletea matatizo.Huna mamlaka wala hadhi ya kuzuia vyombo vya umma kufanya kazi.

Ngoja ukatwe urudi mtaani ndio utajua, kwanza umetuhumiwa kugawa pesa nyakati za uchaguzi na ushahidi upo. Hakuna atakayekuonea huruma wakati huu. Kwanza kuna tetesi kua mnakutana na Membe kwenye hoteli zake usiku na unasubiri ukatwe uhamie ACT. Tulishakustukia kitambo sana
View attachment 1536951
Kachanganyikiwa hana uhakika wa kuteuliwa na chama au kuchaguliwa na wananchi.
Cc Nape Nnauye
 
Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani?

Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi?
Huu sasa ni sawa na ujangili ikiwa hivi mikosi haitakiwi halafu wewe unavyo.
Acha kuropoka, kila mtu akisema ana kikosi chake patakalika?

Unataka kutuchafulia chama tulishakuonya unyamaze. CCM hatuna vikosi kama umaanishavyo wewe ispokua tuna chipukizi. Huo mdomo itatuletea matatizo.Huna mamlaka wala hadhi ya kuzuia vyombo vya umma kufanya kazi.

Ngoja ukatwe urudi mtaani ndio utajua, kwanza umetuhumiwa kugawa pesa nyakati za uchaguzi na ushahidi upo. Hakuna atakayekuonea huruma wakati huu. Kwanza kuna tetesi kua mnakutana na Membe kwenye hoteli zake usiku na unasubiri ukatwe uhamie ACT. Tulishakustukia kitambo sana
View attachment 1536951
CCM wamekuwa dhaifu sana, JPM na genge lake wameona wajikite kwenye UHUNI na UHALIFU tu sasa. Hoja zimewaishia ni kutapatapata tu.
 
NAPE bado atoshi kuwa kiongozi, bado anamihemko sana ya kubebwa bebwa.....
 
Shame on you NAPE...... Walisema ulizaliwa mbio za mwenge nikabisha..... The truth is now coming out. Shame on you, the international community is watching people like you
 
Unapomwambia PM kwamba Usalama wa taifa ubaki huko huko DSM kwamba ninyi mna vikosi vyenu una maana gani?

Hivi sheria ya vyama vya si inazuia kua na vikosi vya ulinzi?
Huu sasa ni sawa na ujangili ikiwa hivi mikosi haitakiwi halafu wewe unavyo.
Acha kuropoka, kila mtu akisema ana kikosi chake patakalika?

Unataka kutuchafulia chama tulishakuonya unyamaze. CCM hatuna vikosi kama umaanishavyo wewe ispokua tuna chipukizi. Huo mdomo itatuletea matatizo.Huna mamlaka wala hadhi ya kuzuia vyombo vya umma kufanya kazi.

Ngoja ukatwe urudi mtaani ndio utajua, kwanza umetuhumiwa kugawa pesa nyakati za uchaguzi na ushahidi upo. Hakuna atakayekuonea huruma wakati huu. Kwanza kuna tetesi kua mnakutana na Membe kwenye hoteli zake usiku na unasubiri ukatwe uhamie ACT. Tulishakustukia kitambo sana
View attachment 1536951
Anavuta bange uyo jamaaa
 
Back
Top Bottom