peter tumaini
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 573
- 94
Hana jipya .
He has used words only.
Chukua chako mapema nape bef 2015
He has used words only.
Chukua chako mapema nape bef 2015
nimeshangaa hata baada ya hayo yote bado wamepata kura nyingi sana, hawakustahili hata kura elfu moja. Waliniudhi sana hao ndugu, hasa huyo wa pili, hata jina lake sitaki kulitajaNi kweli kauli ya SENDEKA ya kuendekeza ukabila na ile ya LUSINDE kumwaga matusi zaidi ya mlevi wa gongo hata kama mimi ningekuwa mpiga kura wa Arumeru nisengekipigia kura chama cha namna hiyo.
Wawatumie watu wenye staha na lugha njema kwenye kampeni zao
Katibu Mwenezi wa CCM,Nape Nnauye amekaririwa akidai kuwa kushindwa kwa CCM katika uchaguzi wa Ubunge wa Arumeru Mashariki kumetokana na hujuma.
Nape alikuwa akizungumza muda mfupi baada ya matokeo kutangazwa na Kagenzi na kuonyesha kuwa Joshua Nassari wa CHADEMA ameibuka mshindi.
Nape amedai kuwa kulikuwa na watu wasiokubalika kwenye jamii katika uchaguzi huo ambao ndio waliosababisha kushindwa kwa CCM.
Hata hivyo, Nape hakuwataja watu walioihujumu CCM uchaguzini.
Alisema kwa kuuliza: "Mbona Igunga hatukushindwa?'.
Alionekana amepagawa...
Nyara ya Taifa!!! Tehe tehe tehe tehe tehe teheeeeeeee!!
Nape,
punguza porojo kijana kama ulikuwa unayajua yote hayo ya kuhujumiwa kwa nini ulienda Arumeru kufanya kampeni..
katibu mwenezi wa ccm,nape nnauye amekaririwa akidai kuwa kushindwa kwa ccm katika uchaguzi wa ubunge wa arumeru mashariki kumetokana na hujuma.
Nape alikuwa akizungumza muda mfupi baada ya matokeo kutangazwa na kagenzi na kuonyesha kuwa joshua nassari wa chadema ameibuka mshindi.
Nape amedai kuwa kulikuwa na watu wasiokubalika kwenye jamii katika uchaguzi huo ambao ndio waliosababisha kushindwa kwa ccm.
Hata hivyo, nape hakuwataja watu walioihujumu ccm uchaguzini.
Alisema kwa kuuliza: "mbona igunga hatukushindwa?'.
Alionekana amepagawa...
Katibu Mwenezi wa CCM,Nape Nnauye amekaririwa akidai kuwa kushindwa kwa CCM katika uchaguzi wa Ubunge wa Arumeru Mashariki kumetokana na hujuma.
Nape alikuwa akizungumza muda mfupi baada ya matokeo kutangazwa na Kagenzi na kuonyesha kuwa Joshua Nassari wa CHADEMA ameibuka mshindi.
Nape amedai kuwa kulikuwa na watu wasiokubalika kwenye jamii katika uchaguzi huo ambao ndio waliosababisha kushindwa kwa CCM.
Hata hivyo, Nape hakuwataja watu walioihujumu CCM uchaguzini.
Alisema kwa kuuliza: "Mbona Igunga hatukushindwa?'.
Alionekana amepagawa...