Nape Nnauye: Tumehujumiwa..

Nape Nnauye: Tumehujumiwa..

Mdwanzi, hakuliona hilo wakati wanatukana majukwaani!! Na huu ni mwanzo tu, wandhani watanzania ni wajinga na wanarubuniwa kwa vijihela, kanga na kofia zao.
Ole wao, siku inakuja na watalipia kwa maovu yote waliyo na wanayowanfanyia Watanzania, come 2015!
Haya mambo yanaweza kujirudia
 
..yote 9..kumi ni ccm chaliii..dadeek,hakuna cha hujuma wala nin,na uo ni mwanzo tu!wawadanganye uko uko vijijin ambao hawajafunguka macho..ila wajue wakija mjini imekula kwaoo..im so happy 4CDM..So so happy! Mwendo spidi240,ileile ad 2015 ..na igunga c arumeru vijana arusha wana ulinzi zaid yaulinzi..kabwa ad penat,no uchakachuz.com..********!
Aise
 
Back
Top Bottom