Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 52,212
- 162,791
Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM,Nape Nnauye amesifu utaratibu wa CCM unaofuatwa kabla ya kumfukuza mtu uanachama na amesema kwa CCM kuna vikao vingi kabla uamuzi wa kumfukuza mtu uanachama haujafikiwa.
Pia,Nape amedai kinachomponza Zitto ni kuhoji maswala ya ukaguzi wa ruzuku na nia yake ya kugombea uongozi ndani ya chama.
Vile vile Nape amepiga kijembe kwa kusema kama watu hawa wakipewa madaraka makubwa ya kushika dola itakuwaje kama madaraka ya kuongoza chama tu wanayatumia hivyo.
Nape allikuwa akiongea katika mahojiano na mtangazi wa TBC 1 asubuhi hii kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1.
MT TAKE:
CCM waliwahi kujaribu kumfukuza nani uanachama katika siku za hivi karibuni?
Pia,Nape amedai kinachomponza Zitto ni kuhoji maswala ya ukaguzi wa ruzuku na nia yake ya kugombea uongozi ndani ya chama.
Vile vile Nape amepiga kijembe kwa kusema kama watu hawa wakipewa madaraka makubwa ya kushika dola itakuwaje kama madaraka ya kuongoza chama tu wanayatumia hivyo.
Nape allikuwa akiongea katika mahojiano na mtangazi wa TBC 1 asubuhi hii kwenye kipindi cha Jambo kinachorushwa na TBC1.
MT TAKE:
CCM waliwahi kujaribu kumfukuza nani uanachama katika siku za hivi karibuni?