Huo ndio ujumbe katika account ya twitter ya Waziri Nape Moses Nnauye.
Ni mstari mmoja tu unaosomeka:
"No longer at ease!"
Huyu mh.ni bora afanye maamuzi magumu sasa kabla wengine hawafanya maamuzi magumu hapo baadae.
magufuli anazidi kujidhalilisha
hahah kwakweli hapo atakuwa anaangalia marudio ya shilawadu kwa furaha zooteTatizo wenyewe anajiona kacheza kama pele.
wa wauza unga.Nape ameshaona bora awe upande wa watanzania/wananchi.