mcfm40
JF-Expert Member
- Nov 2, 2010
- 4,452
- 3,152
Ndugu zangu,
kama mlikuwa hamuamini mikakati michafu ya CCM ya kuendela kutawala kwa kutumia propaganda za ubaguzi w kikanda na kikabila basi leo muamini.
Bila shaka mumeliona tamko la Nape "akimkaripia" Dr Slaa ti kwamba ni mkabila na mkanda kisa kuihoji tume ya uchaguzi kisa cha kuanza uandikishaji kwenye mikoa ambayo ni stronghold ya CCM.
Katika kuitetea tume, Nap amedai kwmba stronghold ya CCM ni Tanzania nzima (which is not true of course). Lakini hebu tukubaline nalo kwa shingo upande.
Lakini cha ajabu ni pale Nape alipoenda mbali na kuanza kuhubiri ukabila na ukanda ambao alikuwa anaupinga yeye mwenyewe kwa tafsiri aliyoamua yeye kuipa ile tahadhari aliyoitoa Dr. Slaa.
Kwanza anaamua kwenda nje ya hoja ya msingi na kuzusha madai kwamba Slaa, Mbowe na Mbatia wa Kaskazini walifanya mkutano nakutowahusisha Prof Lipumba na Makaidi ambao sio wa Kaskazini. Hivi lengo la propaganda hii ni nini? Nini zaidi ya kuonesha hofu kuu ya CCM waliyonayo juu ya ushirkiano wa UKAWA hivyo kutafuta kila njia kuwachonganisha? Kiasi kwamba imebidi sasa kutumia mbinu yoyote hata hoja za kitoto km hii bila kujali matokeo yake in the long run.
Kwa nini tusitumie tu mbinu ambazo hazina potential ya kutugawa? Tulitegemea CCM muishi maneno yenu kwakuhubiri umoja badala ya kujaribu kuchonganisha watu kikanda nakikabila.
Naamini UKAWA mnaitambua hii mbinu na sitegemei kwamba mtafanya yale CCM inatamani yatokee kwenu. Mna kazi y kuwaonesha hawa CCM kwamba you mean business!
Kwaa ndugu zangu CCM nawashauri achaneni na mbinu za kijnga nakitoto za kujaribu kuwachonganisha UKAWA kwa sababu hamtafankiwa. Tafuteni mgombea wenu wa urais. Siku zimekwisha!
kama mlikuwa hamuamini mikakati michafu ya CCM ya kuendela kutawala kwa kutumia propaganda za ubaguzi w kikanda na kikabila basi leo muamini.
Bila shaka mumeliona tamko la Nape "akimkaripia" Dr Slaa ti kwamba ni mkabila na mkanda kisa kuihoji tume ya uchaguzi kisa cha kuanza uandikishaji kwenye mikoa ambayo ni stronghold ya CCM.
Katika kuitetea tume, Nap amedai kwmba stronghold ya CCM ni Tanzania nzima (which is not true of course). Lakini hebu tukubaline nalo kwa shingo upande.
Lakini cha ajabu ni pale Nape alipoenda mbali na kuanza kuhubiri ukabila na ukanda ambao alikuwa anaupinga yeye mwenyewe kwa tafsiri aliyoamua yeye kuipa ile tahadhari aliyoitoa Dr. Slaa.
Kwanza anaamua kwenda nje ya hoja ya msingi na kuzusha madai kwamba Slaa, Mbowe na Mbatia wa Kaskazini walifanya mkutano nakutowahusisha Prof Lipumba na Makaidi ambao sio wa Kaskazini. Hivi lengo la propaganda hii ni nini? Nini zaidi ya kuonesha hofu kuu ya CCM waliyonayo juu ya ushirkiano wa UKAWA hivyo kutafuta kila njia kuwachonganisha? Kiasi kwamba imebidi sasa kutumia mbinu yoyote hata hoja za kitoto km hii bila kujali matokeo yake in the long run.
Kwa nini tusitumie tu mbinu ambazo hazina potential ya kutugawa? Tulitegemea CCM muishi maneno yenu kwakuhubiri umoja badala ya kujaribu kuchonganisha watu kikanda nakikabila.
Naamini UKAWA mnaitambua hii mbinu na sitegemei kwamba mtafanya yale CCM inatamani yatokee kwenu. Mna kazi y kuwaonesha hawa CCM kwamba you mean business!
Kwaa ndugu zangu CCM nawashauri achaneni na mbinu za kijnga nakitoto za kujaribu kuwachonganisha UKAWA kwa sababu hamtafankiwa. Tafuteni mgombea wenu wa urais. Siku zimekwisha!