William Mshumbusi
JF-Expert Member
- Mar 27, 2012
- 1,657
- 2,252
Sasa naona inagombana na kilamtu.
Iligombana na maaskofu kwa kushindwa kudhibiti wizi wa raslimali za taifa na rushwa.
Ikaomba urafiki na mashehe ila sasa inagombana nao kwa kushindwa kuwapa maakama ya kadhi na kuvunja muungano
Kwasababu inapesa ikaioa CUF na juzi imeoa mke wa pili NCCR mageuzi. Wanaichuna pesa tu.
Sa namuuliza nape Nani rafiki wa kweli wa CCM?
Iligombana na maaskofu kwa kushindwa kudhibiti wizi wa raslimali za taifa na rushwa.
Ikaomba urafiki na mashehe ila sasa inagombana nao kwa kushindwa kuwapa maakama ya kadhi na kuvunja muungano
Kwasababu inapesa ikaioa CUF na juzi imeoa mke wa pili NCCR mageuzi. Wanaichuna pesa tu.
Sa namuuliza nape Nani rafiki wa kweli wa CCM?