Nape na posho za Wabunge

Kwani Nape kuna ugumu gani wa kuunganisha ubongo kwanza kabla ya kufungua mdomo ??? Kwa spidi hii watakutema mapema.
 
ACHEBE hivi unajiita au wanakuita greatthinker? jiulize mara mbilimbili. Unashangazwa wewe na nani wenzio?
Kwa utafiti ganiitto anadharauliwa, kweli ulikuwa nae Udsm ktk nyanja ipi labda gardener au canteen kwasababu unaonyesha upeo mdogo mno ktk kujadili mada. Go back and come with a thread that can upgrade you.
 
Wabunge wanne wa NCCR toka mkoa Kigoma, wameungana na mh Zitto kutaka posho zao zielekezwe ktk maendeleo ya Kigoma kwani pamoja na mkoa huo kuwa nyuma kimaendeleo, ktk bajeti hii umetengewa kiasi kidogo sana kuliko mikoa yote kwa ajili ya maendeleo
 
Hii nzuri sana Chadema na NCCR waungane na wapinzani wengine kutoka CUF wakatae posho waachieni CCM wazichukue. Hakimu atakuwa 2015 uchaguzi ukija kama CCM itapata viti 15 sijui labda wachakachue sana!!!!!
 
Hiyo ni hatua ya kwanza, na kwa sababu hiyo hoja si yake pekee yake bali ya chama hivyo chama ingelitolea ufafanuzi na kutoa tamko rasmi pindi watakapokuwa wakiwakilisha bajeti kivuli J5. Lakini wakati akisubiri hayo ndiyo ameamua kuchukua uamuzi huo, sasa ubaya uko wapi?
 
Inawezekana kuishi bila posho mbona miradi ya yote ya kimaemndeleo inayofadhiliwa na world bank hapa nchini haina bajeti ya sitting allowance ingawa katika kutekeleza miradi hiyo vikao vinakuwepo na sitting allowance hailipwi.

Na hata GIZ ni wajerumani wao hufadhiri hasa katika maswala ya maji hawana utaratibu wa sitting allowance na shughuli zao zinakwenda vizuri.
Good start, we can make it possible
 

Tofautisha haki ya mtu na ufisadi wa kiidara. Posho anayolipwa Dr Slaa ni haki yake lakini mnayochukua bungeni ni ufisadi. Chukueni hizo hela zetu za kodi makutano ni 2015!!!!
 
Kwa taarifa yako wabunge wa NNCR nao kesho wanapeleka barua kuomba posho zao za sitting allowance zielekezwe kwende Vote 74 ya Kigoma ambayo ina fungu dogo kuliko mikoa yote Tanzania. Hawakuishia hapo bali watapeleka mswaada wa kufuta posho hiyo.
 

Mkuu,

Usimwamshe mtu aliyelala kwani Zitto anachojaribu kukifanya ni kuleta heshima na uwajibikaji serikalini waache watakaokubali wakubali halafu wananchi wataenda kufahamishwa vizuri kwanini akina Zitto walikuwa wakizipinga bungeni.
 
Kuna wakati nahisi kama kiongozi wa NCCR-bungeni ni Zitto Kabwe - Mbatia anabaki kuongoza huku uraiani, think!
 
unajua licha ya hiyo sitting allowance ya Tsh. 70,000 kwa kila kikao bado analipwa per diem/Night Out Allowance ya Tsh. 80,000 kila siku anayokuwa Bungeni
 
Dr. SLAA AKIWA MBUNGE NDIO ALIANZA SASA CHADEMA INAMALIZIA!!!!

Zitto yeye kasema kwa kipindi watakapokua bado hawajaifuta ipelekwe Kigoma!
 
du hii ni atari aisee na wengine wamegomea posho sasa mambo yanaonekana nguvu ya uma inawaakumba wengi big up kwa wanaharakati wa kweli na sio maneno:lock1:
 
unajua licha ya hiyo sitting allowance ya Tsh. 70,000 kwa kila kikao bado analipwa per diem/Night Out Allowance ya Tsh. 80,000 kila siku anayokuwa Bungeni
80,000.00 per diem inawatosha kabisa, vinginevyo wapandishe posho ya per diem tunufaike sote badala ya kujirundikia maposho mengo peke yao.
 

mimi sijui wewe ni mtanzania au ni mzimu uliofufuka? au wewe nae ni mbunge wa upinzani ambaye unahisi zitto kawapa mtihani, kwa kuwa mlienda bungeni kutafuta posho tu, anyway lakini kuwa makini sana na urpokokaji wako.
wewe hujui nchi hii inavyofunika kombe....., angepeleka mswaada inamaanisha usingepitishwa na miposho ingeliwa kama kawa. punguani weee
 

naona umejiondoa kwenye hoja yako uliyoianzisha kimyakimya, sisi watu makini tunakuomba ueleze nini unachotaka tujadili! Zito uliyemfaham UDSM? Dhamira ya kuacha posho za vikao? Zito anatafuta umaarufu? Kuwa staight.
Jiulize kwanza, siasa bila umaarufu ni siasa? Lazima ujulikane, watu waone makeke yako ndio wakuchague! Wewe mbona hujachaguliwa hada kuwa diwani? Ni kwa sababu hujulikani na hujafanya watu wakujue!
Sio ila hoja mkatae kwa kuwa amesema mpinzani! Zito ameenda hatua zaidi, ametekeleza kwa vitendo dhamira yake, na si maneno,!
 
kawaida yake kupayuka
Nimesoma gazeti moja la leo nape akikiri sio yote wasemayo wapinzani ni ya kupuuza (posho) na akasema ishu ya posho hataisemea coz yeye c mbunge sasa huko itv kafuata nini, mbona haeleweki.
 
sio hao wa ccm tu, hata wa cdm nao wapo nawajua wamejisikia hovyo sna ila wanaona aibu tu mzeee, wanalo mwaka huu.
mahesabu yao yote ya kuezka kwa vigae kwa viposho yamezimwa mwaaaaaaaa, zitto kawapa mtihani mzee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…