fikirikwanza
JF-Expert Member
- Jan 25, 2012
- 7,452
- 3,065
CDM LAZIMA KULINDA KURA KWA NGUVU NA GHARAMA YOYOTE, vinginevyo ushindi mtauona tu unakwenda kwa wezi wa kura wa bara hili na karne hii.
Yule mama alishiriki uchaguzi tangu 2005 akiwa JAHAZI asilia, nakumbuka tulimpa support ila yalitokea yaliyo tokea, yuko experienced kwa kweli na majukwaa.
Utoto bwana, yaani viongozi wakuu wa CCM wakae Kalenga wakati hata viongozi wa nyumba kumi wanatosha kumaliza shughuri. cdm viongozi na wabunge wote kuanzia Mkiti Taifa wapo Kalenga kama si hofu wanatafuta wote nini huko? Tumewatuma Dodoma wanakimbilia Kalenga. Nyambafu
Weka picha ya hadhira,mbona hakuna watu?Akili za kiBAVICHA huwa zinaelewa kama ukizijibu kwa kuweka picha kwa sababu sera ya CHADEMA ni kujaza watu kwenye mikutano kwa njia yoyote ile, ndiyo maana walipoona watu wa Kalenga hawaendi kwenye mikutano yao, wakaamua kukopa helikopta angalau kukusanya hata watoto kwenye mikutano yao ya kampeni Kalenga.
Hiki kiwanda chenu cha BAVICHA ambacho kila dakika kinazalisha uwongo, majungu na ulaghai kuhusiana na uchaguzi Kalenga automatic baada ya kura kupigwa na wananchi wa Jimbo la Kalenga kitakosa malighafi na kufungwa.
Huu hapa chini ni mkutano uliofanyika leo katika kijiji cha Magulilwa, Kalenga.
Katibu Mkuu CCM Taifa (Kulia) Kanali Mstaafu Kinana na Naibu Katibu Mkuu CCM-Bara (Kushoto) Mh.Mwigulu Nchemba Wakimnadi Mgombea wa CCM Jimbo la Kalenga Ndugu Godfrey William Mgimwa(Katikati) hii leo Kwenye Mkutano wa Hadhara wa Kampeni za Uchaguzi Uliofanyika akatika Kijiji cha
Magulilwa.
Kusho na Kulia ni Wagombea Wenza kwenye Kura za Maoni CCM wakati wa Kuchagua Mwana-CCm atakaye Gombea Ubunge jimbo la Kalenga.Wagombea Wenza hawa wamekuwa Bega Kwa Bega na Godfrey William Mgimwa kwenye Kampeni hizi ikionesha wazi CCM ni Wamoja.
Godfrey Mgimwa akihutubia umati wa wananchi wa Kijiji cha Magulilwa na dhima ya hotuba yake ilikuwa ni kuwaomba wananchi wamkopeshe imani ili aendelee kuwaletea maendeleo kupitia Ilani ya uchaguzi ya CCM.
Hicho unachokiona ni nini?.Weka picha ya hadhira,mbona hakuna watu?
mwigulu nchemba alifata pesa iringa mjini akachota mil 90...
Hujui au ni umbumbu kwani hujui CCM yoote makao Makuu wapo Kalenga Kinana, Mangula, Mwigulu na Nape wamepotea leo. Wajumbe wa nec na Wenyeviti na makatibu wa mikoa mpaka wa Mtwara wapo Kalenga. Slaa na yupo Dar. Mbowe yupo Dom na wabunge wengine woteUtoto bwana, yaani viongozi wakuu wa CCM wakae Kalenga wakati hata viongozi wa nyumba kumi wanatosha kumaliza shughuri. cdm viongozi na wabunge wote kuanzia Mkiti Taifa wapo Kalenga kama si hofu wanatafuta wote nini huko? Tumewatuma Dodoma wanakimbilia Kalenga. Nyambafu
Wapi wewe bwana! Wewe unalipalilia tumbo lako kupitia mgongo wa Mwigulu,endelea kumdanganya huyo gaidi ili ushibe...Moyoni unaikubali cdm.Hicho unachokiona ni nini?.
Wewe niwa kuhurumiwa kwa sababu andiko lako linatoa angalizo la mtu anayehitaji msaada kifikra na kimtazamo.
Hizi taarifa zimekuwa gumzo iringa mjini, kweli aibu kwa ccm mtahonga mpaka lini, mnakuwa madomo zege ni uboya wa hali ya juu, jengeni hoja na siyo kutapatapa kama bata
Yule mama alishiriki uchaguzi tangu 2005 akiwa JAHAZI asilia, nakumbuka tulimpa support ila yalitokea yaliyo tokea, yuko experienced kwa kweli na majukwaa.