chakii
JF-Expert Member
- Sep 15, 2013
- 21,369
- 27,785
Leo ndani ya Siasa za Siasa tunaye Nape Nnauye
Katibu uenezi na itikadi CCM na Ayoub Rioba Mhadhiri chuo cha uandishi wa Habari na pia mwana habari.
Mjadala mkubwa ni kuhusu mchakato mzima wa uteuzi wa mgombea wa urais.
Inavyoonekana kuna mizengwe mingi katika kumpitisha mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala (CCM) ambapo Bwana Nape anasema kuna mfumo uliopo na vigezo ambavyo lazima chama kifuate katika kutekeleza hilo, japo si kwa asilimia mia moja.
Na kuhusu hofu ya kuwa wengi wanaowania kugombea uteuzi huo si wasafi, Nape anakiri kuwa ni kweli, lakini ataangaliwa alie na afadhali.
Chanzo : Eatv
My take : Nape amekuwa mwenyekiti wa CCM? mbona anajichukulia maamuzi binafsi ?
Katibu uenezi na itikadi CCM na Ayoub Rioba Mhadhiri chuo cha uandishi wa Habari na pia mwana habari.
Mjadala mkubwa ni kuhusu mchakato mzima wa uteuzi wa mgombea wa urais.
Inavyoonekana kuna mizengwe mingi katika kumpitisha mgombea urais kwa tiketi ya chama tawala (CCM) ambapo Bwana Nape anasema kuna mfumo uliopo na vigezo ambavyo lazima chama kifuate katika kutekeleza hilo, japo si kwa asilimia mia moja.
Na kuhusu hofu ya kuwa wengi wanaowania kugombea uteuzi huo si wasafi, Nape anakiri kuwa ni kweli, lakini ataangaliwa alie na afadhali.
Chanzo : Eatv
My take : Nape amekuwa mwenyekiti wa CCM? mbona anajichukulia maamuzi binafsi ?