IamMrLiverpool
JF-Expert Member
- Apr 27, 2014
- 3,166
- 3,816
Huyo nape na bashe wametumwa na Boss wao lowassa
Chadema sijui mtaacha lini hujuma
Chadema sijui mtaacha lini hujuma
Hata kama hana kilo moja anatetea wakulima mbona jiwe anatetea kwani yeye ana kilo ngapi au ana shamba la korosho.kwani nape una kilo ngapi za korosho?
Nape na Chadema wamefanya hujuma gani.Huyo nape na bashe wametumwa na Boss wao lowassa
Chadema sijui mtaacha lini hujuma
Mkuu umenena vyema kabisa, nilifanya kazi na wakulima korosho miaka kumi iliyopita hapo Lindi na hiyo ndiyo hali halisiMkulima halazimishwi kuuza kangomba isipokuwa shida za akipeleka chama cha ushirika anapewa karatasi badala ya pesa ungekuwa wewe ungefanyaje wakati unashida ya pesa lakini una mazao ndani ambayo mtu wa kangomba atakupa cash. Je utakaa na shida zako mpaka msimu wa malipo. Soma vizuri alichosema nape ni kuwa badala ya kutoa karatasi.watoe pesa kwa wakulima wanapopeleka mazao yao. Kwa mtindo huo kangomba itakufa kifo cha asili lakini siyo kwa kutumia jeshi! Soma na kutafakari mkuu usijibu kishabiki sisi tulio field ndiyo tunafeel maumivu!
Waambie watulie kabisa. Walishabikia wenyewe tabia za huyo jamaa.Hali ya wakulima Kusini ni mbaya sana. Kama ingekuwa kulaaniwa kunasababisha kifo, Magufuli angekuwa ashakufa kwa jinsi anavyolaaniwa huku Kusini.
Anawashwa washwa, asiwaponze mashangazi
Kwahiyo mnasema katumwa na Chadema?Tuko kwenye laiti tilakiKwani Chadema ni mabeberu?!
Pm kasema korosho zote zitanunuliwa full stop.
Nape kama kuna dhambi alishiriki katika yanayoendelea nchini angetumia muda mwingi kutubu kwa Mungu ili apate neema ya utakaso zaidi ya hapo aombe Mungu ampe ustahimilivu wa after effect ushiriki wakeMwonee huruma anajuta sasa hivi
Tulianza na gesi sasa tunaingia kwa koroshoDawa ya Kangomba ni kubadili mfumo wa malipo ya Korosho kwa wakulima, kwa kuviwezesha Vyama vya Ushirika kupitia TADB kulipa sehemu ya malipo Mara tu korosho inapofika ghalani. Hichi kinachoendelea sasa hakiwezi kumaliza kangomba, ni mateso tu kwa wakulima! Nape Moses Nnauye on Twitter
View attachment 964028
Mkuu watu hawana hata hurumaKasema ukweli mchungu ila ataambiwa katumwa na mabeberu.
Hii nchi imewashinda wajitafakaliCCM watamgeuzia kibao atakuwa ametumwa na mabeberu au lowasa au chadema akili zote za kukalia
TWENDE NA MEMBE 2020Kwani Chadema ni mabeberu?!
Dawa ya jino ni kuling'oa na siyo panadolNape, jiandae kuitwa na Dr. Bashiru. Nyie watu wa Mtama mnalo mwaka huu!!
Inchi imewashindaMAGUFULI anapenda watu kama nape. Ambao wakiwa nje ya uwanja huwa wanaziona faulo vizuri
JiweWewe dawa nzuri niipendayo ya malaria...kwikwikwi..juzi nilikuwa Kyela hata kakao (cocoa) nao pia wanalalamika huo mfumo, what is wrong with our government...???
Wakati hao ndiyo wanunuzi wakubwa wa kangombaMama DC kasema lazima kuonesha shamba.