Sio lazima uanzishe thread, wewe ni mtu mzima jifunze kuwa na busara, kama huna topic ya maana ni bora usome na kuchangia za wenzako.
Sio lazima uanzishe thread, wewe ni mtu mzima jifunze kuwa na busara, kama huna topic ya maana ni bora usome na kuchangia za wenzako.
Sio lazima uanzishe thread, wewe ni mtu mzima jifunze kuwa na busara, kama huna topic ya maana ni bora usome na kuchangia za wenzako.
anasomea udaktari wa siasa baada ya ile master ya kuchakachua aliyopata juzi
Mnafiki mkubwa yule, atakuwa uko face book akila matapishi yake
Dogo alikulupuka, lkn humu JF walimuonya, bt akaendelea na uvuvuzela wake. Leo kiko wapi? Mwisho wa siku kule Dom akaambiwa amuombe msamaha mamvi! Lkn namuona siku hizi ameamia kwenye taarabu, section ya kupiga gitaa!
Nashukuru kwakuwa wakati nachakachua ULINISAIDIA KUCHAKACHUA........
Haya unayoyasema unahakika nayo? Au ndo wale waliosema Sumaye kamshambulia Nape na kupinga kujivua gamba kwa faida ya kuwatetea mabwana zao na sasa juzi baada ya Sumaye kuongea positive juu ya kujivua gamba ITV dk45 wanaona haya kusema yale maneno wLiyatoa wapi waliyomlisha Sumaye???? Ona aibu kutunga uongo
Jaribu kumcheki kule facebook mkuu... Hapa anapaogopa siku hizi moto wake ni mkali sana.
Tangu ile halmashauri ya CCM ikae Dodoma mwaka jana sijamsikia tena huyu msemaji wa chama tawala? Je wamemziba mdomo asiseme chochote au keshawekwa kwenye payroll ya Lowasa?
Matukio mengi ya kisiasa yanatokea nchini sijamsikia nape akitoa maoni yake kama ilivyo desturi yake!
Nape uko wapi?????????
Tangu ile halmashauri ya CCM ikae Dodoma mwaka jana sijamsikia tena huyu msemaji wa chama tawala? Je wamemziba mdomo asiseme chochote au keshawekwa kwenye payroll ya Lowasa?
Matukio mengi ya kisiasa yanatokea nchini sijamsikia nape akitoa maoni yake kama ilivyo desturi yake!
Nape uko wapi?????????