Ndugu wanabodi jf
Napenda kuwataarifu kuwa huyu kiumbe anayeitwa nape hivi majuzi akiwa hapo lumumba alikuwa na kachero wetu mmoja alieleza tena kwa kujiamini haya yafuatayo,
kwa kuwa ccm ni chama dola kitaendelea kushinda hata kwa kubadilisha matokeo ya uchaguzi kama walivyofanya dar majimbo ya ukonga na kigambono na sehemu nyingine za nchi,
pia kwa kuwa wamefanikiwa kuwafanya watanzania wengi wasiweze kujitegemea wataendelea kutumia pesa kuwarubuni wapiga kura ambao huwa ni watu wa hali ya chini kimaisha.
akaendelea kujisifu kwa kusema chama kama chadema kilishinda viti vingi mwaka 2010 lakini walitumia polisi na wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri kubadilisha matokeo.
jingine ambalo kachero wetu alitushtua ni kuwa hata katiba ambayo ndiyo watu walikuwa wanatoa maoni eti ipo siku nyingi na kinachofanyika ni kiini macho.alipoulizwa kuhusu misimamo ya wajumbe wanaounda tume hasa prof baregu na jaji warioba akajibu eti wao ni dola.
nape akaendelea kujinasibu na kusema kuwa watarudisha majimbo yote waliopoteza kwa kutumia mbinu za kimafia.
sasa huyu nepi anaweza kusababisha balaa kubwa kwani huo mwaka hakuna jiwe ambalo litaachwa bila kugeuzwa na hakuna atakayepita bila kupingwa.
nawasilisha.
Napenda kuwataarifu kuwa huyu kiumbe anayeitwa nape hivi majuzi akiwa hapo lumumba alikuwa na kachero wetu mmoja alieleza tena kwa kujiamini haya yafuatayo,
kwa kuwa ccm ni chama dola kitaendelea kushinda hata kwa kubadilisha matokeo ya uchaguzi kama walivyofanya dar majimbo ya ukonga na kigambono na sehemu nyingine za nchi,
pia kwa kuwa wamefanikiwa kuwafanya watanzania wengi wasiweze kujitegemea wataendelea kutumia pesa kuwarubuni wapiga kura ambao huwa ni watu wa hali ya chini kimaisha.
akaendelea kujisifu kwa kusema chama kama chadema kilishinda viti vingi mwaka 2010 lakini walitumia polisi na wakurugenzi na wenyeviti wa halmashauri kubadilisha matokeo.
jingine ambalo kachero wetu alitushtua ni kuwa hata katiba ambayo ndiyo watu walikuwa wanatoa maoni eti ipo siku nyingi na kinachofanyika ni kiini macho.alipoulizwa kuhusu misimamo ya wajumbe wanaounda tume hasa prof baregu na jaji warioba akajibu eti wao ni dola.
nape akaendelea kujinasibu na kusema kuwa watarudisha majimbo yote waliopoteza kwa kutumia mbinu za kimafia.
sasa huyu nepi anaweza kusababisha balaa kubwa kwani huo mwaka hakuna jiwe ambalo litaachwa bila kugeuzwa na hakuna atakayepita bila kupingwa.
nawasilisha.