Tukundane
JF-Expert Member
- Apr 17, 2012
- 11,455
- 8,248
Labda kama watawatoa nje ya CCM lakini kama ni ndani ya CCM hawatampata hata mtu mmoja ambae hanunui uongozi kwa fedha,asiye kula na kutoa rushwa vinginevyo kama wanataka kuiua CCM ambayo imejengwa katika msingi wa kununua uongozi,kutoa rushwa na kupokea rushwa.