juzi usiku nimemwona makongoro mitaa ya ufipa,sijui anataka kukimbia ccm!!halafu tabia yake ya kupiga misele na lile vx la east africa aache,yani mateja ya pale american chips kinondoni ndio washikaji zake...
Nape anafurahisha sana,kwa kauli yake hiyo ina maana atawapinga wagombea woote wa ccm.
kama nukwel hayo kwann ucnge mzuiya wakati wa kuchukua fomu ucwachanganye watanzania bhana nyinyi nyote ni mafsad
Lowasa akiwa Rais Nape utahama hii nchi maana sijui atakufanya nini huyo mkuu.
hapo mia mia kwa Nape kama ni kweli ayasemayo na utekelezaji kuwa active!
Makongoro? Huyu mtoto wa Juliasi? Sasa mbona ikulu hatupeleki wavuta bangi?Tutakuunga mkono Nape sie tunamtaka mzalendo Makongoro
Nape anatetea kibarua chake lakn maji yameshazidi unga ajiandae kwenda mipasho ama taarabu sababu kibarua kitaota mbawa muda si mrefu