kupelwa
JF-Expert Member
- Aug 24, 2011
- 1,087
- 450
Idadi ya madiwani iko wazi,
Hapa pongezi wape wale madiwani waliosaliti chadema na kufukuzwa na kufanya idadi ya ccm na cuf kuongoza.
Ila cha msingi ni kwamba cdm ni chama pekee kinachofanya maamuzi magumu, tuko tayari kupoteza hata jimbo zima kuliko kuwa na viongozi mamluki ndani ya chama chetu makini.
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums
Ninazo kumbukumbu kuwa NCCR likumbwa na kundi kubwa la mamluki mpaka kikasambaratika;kwamba karibu asilimia kubwa walikuwa wanachama wakutengenezwa na ccm na usalama wa taifa ambao walipandikizwa NCCR kupanga na kutekeleza migogoro ili kisilete upinzani wa dhati kuipumulia ccm karibu.hayohayo yamefanyika kwa CUF mpaka sasa haielewiki kule visiwani zanzibar na pemba kama bado chama cha upinzani .haya pia yalitegemewa kwa cdm yatokee,sikweli kabisa kundi kubwa linaloshabikia cdm ni wahafidhina wa upinzani, wengine mamluki na wachumia tumbo.Weamekuwpo lutekeleza mipango ya ccm na usalama wa taifa kuidhofisha cdm, ili ccm iendelee kutawala milele.Hapa nape hana cha kujivunia, chaguzi kama za meya si kioo cha kuonyesha imara wa ccm, bali mbinu chafu kuionyesha jamii kuwa bado kinapendwa na umma.swali jamii itarudisha imani ya kutumikia wanyonge kwa kushinda umeya huku ukirubuni madiwani wa cuf na baadhi ya mamluki wa chadema?kwa sasa nape angejitahidi kuwatumikia wanyoge waliopoteza imani na serikali yao badala ya kujidaganya na viuchaguzi vya hila kama ngao kwa umma, wakati ukweli hali si nzuri.serikali hiyohiyo ndo imesababisha chama cha ushirika kufirisika kwa kumtumia dalali ambaye alikuwa mbunge wa ccm kuhujumu ushirika huo kwa kuuza mali za ushirika, hivyo kuwafanya wakulima kwa sasa kupata bei duni .Huyohuyo mbunge wa ccm magu dr.limbu amekuwa msitari wa mble kuwakejeri wakulima wa zao hilo bila kkuishauri serikali itie mkono kuwasaidia wapate bei nzuri.Kwa hiyo nape kujiridhisha kwa uchaguzi wa meya kama msingi wa maisha ya wana mwanza ni kukumbatia utoto.