Nape, Bashe na wengine; Msitishwe,simamieni mnachokiamini

Nape, Bashe na wengine; Msitishwe,simamieni mnachokiamini

assadsyria3

JF-Expert Member
Joined
Apr 9, 2013
Posts
6,909
Reaction score
4,057
Hakuna ubishi wowote kuwa mwanadamu kwa asili ni so selfish.

Nape alikuwa kijana hodari alisimamia misingi ya haki Na uadilifu Na iliwahi kumletea matatizo. Ajabu akapewa cheo Na JK akatupa mbali alichokisimamia. Akadiriki kudai hata bao la mkono lipigwe ilimradi chama chake kisishindwe.

Pia Bashe kumkana Lowasa Na kubaki Na MTU ambae wanatofautiana ideology lilikuwa kosa kubwa. Utalalamika Hali lini?.

sasa nije kwenye hoja.

kufanya kosa sio kosa Bali kurudia kosa.

wote sasa they have come to their senses. Semeni ukweli,simamieni mnachokiamini.
maslahi binafsi tupa kule.

msitishwe,msiogope,hata mkifukuzwa wananchi tupo nyuma yenu.

I believe mkisimama imara kukosoa within ni Bora Na watawala watajirekebisha kuliko ukosoaji toka upande WA pili.
upande WA pili itaonekana ni kawaida hata km IPO hoja, we know, also u know that.

simameni Na haki Na fitina iwe mwiko kwenu.

tumeona harakati Za kuwanunulia plaster Za mdomoni.


assadsyria3
 
Hakuna ubishi wowote kuwa mwanadamu kwa asili ni so selfish.

Nape alikuwa kijana hodari alisimamia misingi ya haki Na uadilifu Na iliwahi kumletea matatizo. Ajabu akapewa cheo Na JK akatupa mbali alichokisimamia. Akadiriki kudai hata bao la mkono lipigwe ilimradi chama chake kisishindwe.

Pia Bashe kumkana Lowasa Na kubaki Na MTU ambae wanatofautiana ideology lilikuwa kosa kubwa. Utalalamika Hali lini?.

sasa nije kwenye hoja.

kufanya kosa sio kosa Bali kurudia kosa.

wote sasa they have come to their senses. Semeni ukweli,simamieni mnachokiamini.
maslahi binafsi tupa kule.

msitishwe,msiogope,hata mkifukuzwa wananchi tupo nyuma yenu.

I believe mkisimama imara kukosoa within ni Bora Na watawala watajirekebisha kuliko ukosoaji toka upande WA pili.
upande WA pili itaonekana ni kawaida hata km IPO hoja, we know, also u know that.

simameni Na haki Na fitina iwe mwiko kwenu.

tumeona harakati Za kuwanunulia plaster Za mdomoni.


assadsyria3
Hakuna wanachokiamini zaidi ya matumbo yao. Maccm yote manafiki tu, mpaka yakose cheo ndio yanaanza kupayuka! I hate ccm with all I have! Hilo lichama la lumumba ni evil kuliko hata shetani mwenyewe!
 
kusimamia wanachoamini Maana yake ni kusimamia maslahi yao.
Kama wangekuwa na hoja ambazo zina maslahi ya maendeleo ya jamii na taifa kwa ujumla, watanzania wote tungewaunga mkono. Kwa vile wanayosimamia ni kwa maslahi yao binafsi, watahangaika sana na mwisho wao ni kupotea kisiasa.
My take, hata punda alipombeba Bwana YESU aliona watu wakishangilia kwa Furaha akahisi kuwa naye anapendwa, lkn Bwana YESU aliposhuka juu ya punda, ndipo punda alipogundua kuwa shangwe zilizosikika sio zake zilikuwa za Bwana YESU KRISTO.
 
Back
Top Bottom