Inabidi mzee Kinana akiratibu safari zake Nape asinge tela wagawane mikoa kila mtu azurure peke yake ccm waone jinsi wanavyopoteza hela kumlipa huyu nape mshahara, huo mkutano angehudhuria yeye na kamati tendaji ya hilo eneo hata wananchi wanachama wa ccm wasingeenda kumsikiliza.
Ccm ni zaidi ya mbwamwitu. .
Inasemekana mzee nnauye ni mzaliwa wa huko kusini. Mtwara bila shaka. so Nape atakuwa wa huko hukoMkuu hivi nape ni mtu wa mkoa gani?
Inasemekana mzee nnauye ni mzaliwa wa huko kusini. Mtwara bila shaka. so Nape atakuwa wa huko huko
Wangempiga Na Viatu Vyao Vya Mguu Wa Kushoto Kuonyesha Ishara Ya Kuepuka Laana Ya Mwanaharamu.
Duh!!!! Sasa this is too much.......
Nape ajifunze kuongea. Wampe pia somo la hotuba. Kila anakokwenda kazi yake ni kuwananga wapinzani. Si vibaya kuwananga wapinzani lakini unapofikia mahali pa kuwaona wasikilizaji wako kuwa wamepewa viroba, ina maana ulikuwepo wakipewa, sasa weye ulifanya nini kuzuia?? Msiwafanye wote wanaowapinga kuwa ni walevi wa viroba.
Ukipendwa na kila mtu, upinzani utatoka wapi?? Ndo maana maccm yamelewa madaraka kiasi kwamba hayaamini kuwa kuna mtu anayeweza kuwapinga. Sivyo, upinzani si uadui, ni kukutoa tongotongo uone vizuri uendako.
mwanaalisi? ha ha ha ha!!!!!!
DuH! cyber crime isije ikaniangukua bure. we changanya na zako tuVipi ile katetesi kuwa ana asili ya mbeya?
Kwanini wanazomea tu hawakwenda mbali zaidi?