da huyo jamaa aliye mchagua nape nae anafikiri kwa kutumia masaburi hajaona kile kilicho mtokea kada mwenzao igunga alivyo chukuliwa mke na mwigulu mbunge wa kule kwetu singida?
ngoja aje bwana mkorogo mtamsikia .."isipo pita siku bila kunitaja hamtosheki..mme zoea vya kuchinja vya kunyonga hamviwezi kinyago cha mpapure babu weee"