Magamba wote wachafu ndio maana Lowassa anachanja mbuga kuelekea 2015...Hakuna hata mmoja wa kumnyooshea kidole na kumwambia, "Kwa ufisadi ulioufanya nchi hii kamwe haustahili kupewa ridhaa na Watanzania ili kuwaongoza, hivyo kaa pembeni."
Mkapa mchafu, Mwinyi mchafu, Kikwete mchafu, SAS naye walishamchafua DHAIFU na kundi lake la mtandao, kwa UDHAIFU huo mkubwa uliopo ndani ya magamba Lowassa anajua watasema pembeni tu lakini hadharani wanaogopa kumkemea maana nao pia ni watenda dhambi hivyo ameanza kutoa rushwa mapema sana ili kujisafishia njia ya kwenda Ikulu 2015. Sijui mpaka tunafika October 2015 atakuwa ametumia mabilioni mangapi katika kutoa rushwa ili kununua ULAIS...Siyo siri nchi yetu imeoza!!!