Nape apita kimya kimya Tabora!

Nape apita kimya kimya Tabora!

MFALME JUHA

Member
Joined
May 5, 2008
Posts
13
Reaction score
1
katika hali isiyotarajiwa katibu mwenezi wa ccm tanzania nape nauye amepita katika mkoa wa tabora kimya kimya akitokea mkoa wa rukwa, nape bila kutarajiwa hata na baadhi ya wana ccm kupata taarifa za nape akiwa tayari kisha pita na kuelekea singida, hali hii imewafanya baadhi ya wadau wa siasa wa mkoa tabora kujiuliza kulikoni nape kupita kimya kimya bila hata ya taarifa au hata angalau mkutano mmoja!
 
katika hali isiyotarajiwa katibu mwenezi wa ccm tanzania nape nauye amepita katika mkoa wa tabora kimya kimya akitokea mkoa wa rukwa, nape bila kutarajiwa hata na baadhi ya wana ccm kupata taarifa za nape akiwa tayari kisha pita na kuelekea singida, hali hii imewafanya baadhi ya wadau wa siasa wa mkoa tabora kujiuliza kulikoni nape kupita kimya kimya bila hata ya taarifa au hata angalau mkutano mmoja!

Atakuwa amepungukiwa na t-shirt na khanga za kugawa! subiri atarudi na 'new stock'!
 
umekosa cha kuandika unajua ratiba ya ccm wewe.
 
tunampa promo mtu mwenye ugonjwa wa akili bhana!! eish..:glasses-nerdy:
 
mmh tabora si ndio ngome yao? Shame on you ccm!
 
Stock imemuishia halafu leo ni Jumamosi wanafunzi hawawezikupatikana kwani hamjui mikutano ya Magamba kufanyika Weekend ni aibu. Wahudhuriaji wapo off leo:majani7:
 
wewe mbona ndio chundu number 1, ulichokiandika wewe nikipi? mbona wewe huna ulicholiandika na hukunyamaza. CCM imekunywa sumu kali itakufa hili halina ubishi liko uchi kabisa bwan mdogo. si shangai nape kuipita tabora najua T-shirt,kofia na magari ya kubeba watu hayakuwepo so kukwepa aibu kalala mbele
 
wewe mbona ndio chundu number 1, ulichokiandika wewe nikipi? mbona wewe huna ulicholiandika na hukunyamaza. CCM imekunywa sumu kali itakufa hili halina ubishi liko uchi kabisa bwan mdogo. si shangai nape kuipita tabora najua T-shirt,kofia na magari ya kubeba watu hayakuwepo so kukwepa aibu kalala mbele
wewe mbona unafuka moshi kama jina lako? unamuigiza bila kujua maana? wee unajua maana ya chundu wewe? au unakurupuka tu. kakojoe ulale dada.
 
Anamuogopa Hussen Bashe si unakumbuka aliahidi wakati ule akiwa na Bwanawake Mengi kuwa atawapiga mawe? Nape bado anakumbuka ahadi ile hasa katika kipoindi hiki ambacho Mengi amegoma kutoa pesa zake baada ya kumstukia Nape kuwa ana mpango wa kumuingiza Mwanadosya madarakani baada ya Membe ambaye Mengi anamuunga mkono.
 
Nape, Tabora umepita kimya lakini kanda ya ziwa wape taarifa kwamba unakuja. Unasubiriwa sana Tarime - uwe na kanga au mtupu.
 
Safi Nape tunataka kwa siku thread kama sita hivi
 
Kichwa cha mwendawazimu! Unakomaa kugawa na t-shirt wakati ......... yaani huyu ndiyo CHUNDU No. 1. sorry sijuii maana ya chundu lakini huyu bwana mdogo nampa hilo jina.
 
Back
Top Bottom