Mlyafinono
Senior Member
- Apr 6, 2012
- 177
- 47
CCM inakufa kifo kibaya sana, ni kama kile kitokanacho na ugonjwa wa nambulila. Yaani unakufa huku unajiona!Amepigwa doro!!!!!
ingekuwa hivyo msingewapiga mabomu.wanatosha kwani hao ndo wapiga kura,,,kwani hao wanaojaa wanapata nn cha mno?