Kadhi Mkuu 1
JF-Expert Member
- Feb 4, 2015
- 21,854
- 27,025
Jamani wewe mgeni hapa? sasa unataka tujadili vuvuzela? Ukilipuliza lenyewe linalia tuu bila kujua kama ni upuuzi au la maana. Sasa Kinana keshalipuliza vuvuzela nape sasa ni milio tu iwe kwa mbele au kwa nyuma. Halafu mkuu usidhani muziki wa EL unawapa usingizi. Maana akipitishwa nchale, akikatwa nchale!Hahaha mkuu umenichekesha sana! Ukikutana na marehemu na wewe utakuwa marehemu!! Back to the topic, mbona nape ameanza kupumua kwa nyuma, shida ni nini? Kama anayajua masharti kwanini asiseme? Toka lini Dr slaa anaushirika na wajinga!?
Kila siku huwa nakwambia kabla haujajibu thread yoyote isome uielewe ndio ijibu, unaona sasa madhara ya kuandika ukiwa umechuchumaa kwenye choo cha shimo??Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.
upumbavu wa kiswahili kwa waswahili....hoja ya Nape hiyo!hatari sana....Katibu wa itikadi n uenezi wa chama cha mpinduzi (ccm) Nape Nnauye amemtaka katibu kuu wa chadema dr. Wilboard Slaa kuwaeleza Watanzania fedha ambazo amepewa na nchi za Ulaya kwa ajili ya uchaguzi mkuu na masharti yake ni yapi na asipoeleza CCM itayaweka bayana.
Nape alitoa kauli hiyo jana wakati akizungumza kwenye mkutano wa hadhara uliofanyikakijiji cha Biharamulo mkoani Kagera amabapo alisema wanaushahidi wa masharti aliyopewa Dr. Sla kwa niaba ya chama chake na lengo za nchi hizo la kufanikisha uchaguzi mkuu
Alisema kabla ya kuanza kutumia fedha hizo ni vemaDr. Slaa akawaambia watanzania masharti gani amepewa ili wapime na kuona dhamira ya chama hicho kinyume CCM itaeleza kila kitu hatua kwa hatua na kutaja masharti yote amabayo Dr. Slaa amepewa na waliotoa fedha hizo
Akifafanua, Dr. Slaa yupo nchi za Ulaya na kilichompelek ni kutafuta fedha kwa ajili ya uchaguzi mkuu na tayari nchi kadhaa zimempa fedha tayari kwa kwa masharti ambayo lazima wayatekeleze na ccm tayari imepata masharti hayo, hivyo kabla ya kuwaambia Watanzania, Dr. Slaa aseme akishindwa hawatakaa kimya.
Alisem kwa sehemu kubwa fedha amabazo zimetolewa na baadhi ya nchi za ulaya kwa chadema hazina nia njema kwa Watanzania ndio maana wanataka Dr. Slaa awe mkweli kwa kueleza masharti gani aliyopewa.
Chanzo: jamboleo
June 16, 2015
Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.
Kaka leo hauko sawa...nadhani usiendelee kujadili hii kitu. Utaaibika bure, maana unaongea uongo wa dhahiri mno...samahani lakini.Mwaka mmoja tu uliopita, Akaunti Rasmi za CCM zilikuwa zimefilisika. Mbali Ya hilo, CCM ilikuwa na madeni Ya zaidi Ya shillingi bilioni moja kwa NBC, NSSF, media companies etc. Usipoteze muda wako kwa kujadili assets za CCM kinadharia, assets Hizo mapato yake yamekuwa yakifujwa ovyo ovyo.
Itaendelea...
Serikali itakayoundwa ni ya CCM, na Nape ni Mwenezi wa CCM, sasa ataishije kwenye pango..U how..?Naamini Nape ana shida kubwa kichwani. Huwa anadhani baba Riz atakuwa rais milele. Kila siku anajitahidi kujitengenezea maadui kadri anavyo weza. Ngoja tuone baada ya October ataishi kwenye pango lipi.
Mimi ni CCM lakini huyu Nape huwa mropokaji tu hana lolote, amejaribu kumtikisa Lowassa kwa zawadi ya jimbo la Membe akaishia kutikisika mwenyewe. Ni bora akomae na madomokaya wezake UKAWA.
We we ni fisadi kama Mafisadi wengini kama unawatukana ukawa na kumsifia lowassa basi huna maana unavimelea vya ufisadi kama lowassa alivyo zungukwa na mafisadi kama akina kalamagi, Ntibaijuka etc
Hahahahahaaaa punguza jaziba mkubwa Idd Abed
Mkuu sina jazba nakwambia ukweli kama unajua mfumo mzuri wa siasa basis huwezi kumsifia Lowassa
Huyu Slaa huyu atatuletea balaa...hivi kwanini asikamatwe afungwe.
Leo hii Dr. Slaa ni balozi, Nape kageuka 'mhenga' kwenye mitandao ya kijamii ni vijimaneno vya kuumia nafsi tu. | |
slaa watu wanawaza kuimarisha uchumi wa ndani yeye anaenda kualika wakoloni...hatufai kabisa huyu babu
Vipi mkuu, bado hafai? | |
Fisadi saivi ni balozi alieteuliwa na JiweSlaa fisadi sana... kafisidi hadi mke wa mtu...!!! Sasa kaenda kupewa mapesa na makameroon sijui atalipaje...!!! Maana masharti yao hao makameroon wanakupiga kabaang...wallaah hatukubali huo mchezo mchafu...Noo..!!!
slaa watu wanawaza kuimarisha uchumi wa ndani yeye anaenda kualika wakoloni...hatufai kabisa huyu babu
Alishasamehewa.Huyu Babu ni wa kumsamehe bure tu...hakuna namna.