Nape akubali ccm ni dhaifu

Nape akubali ccm ni dhaifu

wabunge wa ccm wakiipitisha hii bajeti basi na wao wote watakua dhaifu
 
Jamani hata vichaa mirembe akiwepo komba anajua kuwa jk ni dhaifu 756812.jpg View attachment 57181
 
kiongozi kukutaja ni muhimu, uwezi kwenda kumuomba mungu akusaidie,na akuepushe na majanga ukaacha kumtaja shetani.kumbuka wewe ni msemaji wa wadhaifu lazima tukutaje,tutakuacha endapo utastafu cheo chochote ndani ya wadhaifu kama tulivyo muacha kiboko yako yusufu makamba
enzi za mwalimu hawa viboko 20 wakati wa kuingia na 20 wakati wa kutoka akawaonyeshe hawara zake
 
mzee EL alishasema siku nyingi kuwa ccm tuna OMBWE LA UONGOZI hivyo Mnyika alikuwa anakumbusha tu.
 
Back
Top Bottom