TandaleOne
JF-Expert Member
- Sep 4, 2010
- 1,644
- 709
Sisi inatuhusu nini kitu alichopost Facebook kushare na marafiki zake? Nape ni member hapa kama anajambo aje yeye mwenyewe kuanzisha thread na siyo kutujazia server unnecessary.
Ninamchukia kweli huyu MP@m3avu Nepi! Hebu ona sasa yuko na yule Jambazi wa Richmond na Jangili wa Ndovu wanacheka na kunywa chai pamoja eti wako pamoja!! Nepi umetengeneza umoja na majambazi na majangili wewe vile vile ni mmoja wao="birds of the same feather flock together" I hate plastic smiles, I hate hypocrisy damn it damn it and go to hell Nepi and your gang of poachers and thieves!Ameandika katika Wall yake asubuhi hii kuwa;
https://www.facebook.com/nape.mosesnnauye
"...UMOJA NI USHINDI..."
Pamoja tunaweza kufikia lengo., lakini kuhusu dhamira ya kweli hili lisibaki kwa viongozi pekee bali na kwa wanachama pia. Yapo mambo(nayo ni mengi) viongozi hawawezi kuyafanya bila msaada wa wanachama, kama wanachama nao watakuwa na dhamira ya kweli ya kukiona Chama chao kinasimama katika Asili ya kuundwa kwake basi mengi tunaweza kufanikiwa.
Katika wanachama wapo wanachama viongozi na wapo wanachama wasio viongozi, katika ngazi za uongozi wapo viongozi wakuu na viongozi wa kawaida, CCM inayo safu ya uongozi kuanzia mashina na hawa kwa pamoja kama wanachama na kama viongozi lazima nao wawajibike na wawe na dhamira thabiti.
Likija suala la utendaji unaolenga kukisaidia Chama kuondokana na changamoto zake za sasa na kupiga hatua zaidi za kimaendeleo, watu tumekuwa na tabia ya kurudi nyuma na kuona kuwa jambo hili ni la fulani ama anaweza kulifanya fulani na kusahau kuwa fulani ni nafsi ambayo nayo inatamani jambo hilo lifanywe na fulani, mwisho wa siku mambo tunayoyataka yafanyike hayafanyiki. Ndipo tunaporudi kwenye falsafa ya umoja katika upangaji na ufanikishaji wa mipango yetu kama Chama.
"..UMOJA NI USHINDI.."
Ninamchukia kweli huyu MP@m3avu Nepi! Hebu ona sasa yuko na yule Jambazi wa Richmond na Jangili wa Ndovu wanacheka na kunywa chai pamoja eti wako pamoja!! Nepi umetengeneza umoja na majambazi na majangili wewe vile vile ni mmoja wao="birds of the same feather flock together" I hate plastic smiles, I hate hypocrisy damn it damn it and go to hell Nepi and your gang of poachers and thieves!
Mbona wanapokopi ya chadema hamsemi.,juzi wamekopi note ya zito fb wakaipandisha hapa hamjacomplain...!Sisi inatuhusu nini kitu alichopost Facebook kushare na marafiki zake? Nape ni member hapa kama anajambo aje yeye mwenyewe kuanzisha thread na siyo kutujazia server unnecessary.
watu wengine kwa kupenda kushabikia mambo yasiyo na msingi.?!!?Nimeipenda hiyo mkuu!
watu wengine kwa kupenda kushabikia mambo yasiyo na msingi.?!!?
Mtendaji mkuu wa Chama cha Wezi ni Jangili.Tupe basi hayo majina ya hao majambazi na majangiri tuwajue.
Ameandika katika Wall yake asubuhi hii kuwa;
https://www.facebook.com/nape.mosesnnauye
"...UMOJA NI USHINDI..."
Pamoja tunaweza kufikia lengo., lakini kuhusu dhamira ya kweli hili lisibaki kwa viongozi pekee bali na kwa wanachama pia. Yapo mambo(nayo ni mengi) viongozi hawawezi kuyafanya bila msaada wa wanachama, kama wanachama nao watakuwa na dhamira ya kweli ya kukiona Chama chao kinasimama katika Asili ya kuundwa kwake basi mengi tunaweza kufanikiwa.
Katika wanachama wapo wanachama viongozi na wapo wanachama wasio viongozi, katika ngazi za uongozi wapo viongozi wakuu na viongozi wa kawaida, CCM inayo safu ya uongozi kuanzia mashina na hawa kwa pamoja kama wanachama na kama viongozi lazima nao wawajibike na wawe na dhamira thabiti.
Likija suala la utendaji unaolenga kukisaidia Chama kuondokana na changamoto zake za sasa na kupiga hatua zaidi za kimaendeleo, watu tumekuwa na tabia ya kurudi nyuma na kuona kuwa jambo hili ni la fulani ama anaweza kulifanya fulani na kusahau kuwa fulani ni nafsi ambayo nayo inatamani jambo hilo lifanywe na fulani, mwisho wa siku mambo tunayoyataka yafanyike hayafanyiki. Ndipo tunaporudi kwenye falsafa ya umoja katika upangaji na ufanikishaji wa mipango yetu kama Chama.
"..UMOJA NI USHINDI.."
Sektarieti hii ni nzuri lakini? nina swali moja tu! Kikwete muislamu! Dr Shein Muislamu!mangula Mkristo! Kinana muislamu! Mwigulu Nchemba muislamu! Seif Khatibu Muislamu! Nape Nnauye Muislamu! Asha Rose Migiro Muislamu! Zakhia meghji Muislamu! katika viongozi tisa wa juu wa CCM nane wote ni waislamu na mkristo ni mmoja tu! sura hii sio picha njema kwa nchi ambayo inakabiliwa na udini na propoganda chafu za ubaguzi wa kiimani kama Tanzania ya sasa!- UMOJA NI NGUVU NA UMOJA NI USHINDI, KIDUMU CCM CHAMA TAWALA!!, SAAFI SANA CHAMA KUONGOZWA NA VIJANA WADOGO NA WASOMI WALIOBOBEA KAMA MH. NAPE, NA NI MUHIMU SANA CHAMA KUONGOZWA NA VIJANA TOKA SEHEMU MBALI MBALI ZA TAIFA, NI MFANO WA KUIGWA NA WENGINE!!
- HAIWEZEKANI VIONGOZI WOTE WA JUU WA CHAMA MPAKA MWEKA HAZINA KUWA LAZIMA WATOKEEE MKOA MMOJA TU, HIZO SIO SIASA ZA KISASA ZA INCLUSSIVENESS, CCM SASA UMOJA MBELE BILA UMOJA HATUWEZI, ONA TOKA TUSHIKAMANE NA KUWA KITU KIMOJA NDUGU ZETU WANAHAHA KILA KONA KUJARIBU KUTAFUTA HOJA HAWANA, SASA WAMEINGILIA MPAKA MAJAJI KWAMBA SASA WANATAKA TUBADILI KATIBA WAO NDIO WACHAGUE MAJAJI, NDIO MAANA YA UMOJA HUU NDUGU ZANGU WA CCM!
- SASA TUSHUKE CHINI KWENYE MASHINA NA MATAWI, TUIMARISHE CHAMA AFRICA HAKUNA KAMA CCM, NDIO MAANA VYMA VYOTE VIKONGWE VINAKUJA KUPARA ELIMU, NDIO MAANA KWA KAULI MOJA NCHI ZA AFRIKA MASHARIKI ZIMEAMUA KWAMBA CHUO CHA KIVUKONI KIWE CHUO MAALUM KWA ELIMU YA SIASA EAST AFRICA, VIONGOZI WA SASA WAPYA SO FAR KAZI NZURI SANA NA IWE HIVYO HIVYO TU,
- KIDUMU CHAMA TAWALA! KIDUMU CCM! WAKIMWAGA MBOGA! TUNAWAPA UGALI! WAKILETA ZA KULETA! TUNAWAPA ZA USO! WAKILETA HOJA TUTAWAJIBU KWA HOJA! LAKINI WAKIJA NA VIROJA! WATAPEWA VIROJA!!
NAPE FOR PRESIDENT 2015!!!
LE Mutuz!!
Peleka thread zako za Gongo hukoMbona wanapokopi ya chadema hamsemi.,juzi wamekopi note ya zito fb wakaipandisha hapa hamjacomplain...!
Jifunzeni kutafakari..!
Sektarieti hii ni nzuri lakini? nina swali moja tu! Kikwete muislamu! Dr Shein Muislamu!mangula Mkristo! Kinana muislamu! Mwigulu Nchemba muislamu! Seif Khatibu Muislamu! Nape Nnauye Muislamu! Asha Rose Migiro Muislamu! Zakhia meghji Muislamu! katika viongozi tisa wa juu wa CCM nane wote ni waislamu na mkristo ni mmoja tu! sura hii sio picha njema kwa nchi ambayo inakabiliwa na udini na propoganda chafu za ubaguzi wa kiimani kama Tanzania ya sasa!
Open you're eyes now, hata huyu Le Mutus Baba yake anaitwa Jumanne alishasilimishwa siku nyingi tu kwa tamaa ya Urais.Duh!? Mi nilikuwa hata sijaliona hilo!