same song kila kukicha
Nape hawawezi kina Lowasa.Hes so small....
Siku 90 ndio zilitolewa na haikuwa inamaanisha kuwa akina EL,RA na AC waondoke CCM. Waliambiwa kuwa wajiangalie, kama wanafit CCM wabaki na kama wanaona hawafiti wahame!Wameonyesha kuwa still wanahitajika, na mchango wao ni mkubwa kwa taifa. Sasa nyie mnataka waondoke waende wapi?
atawaambia hivi "haya ni masuala ya ndani chama na yatamalizwa na vikao halali vya chama, kwa hiyo tuwe na subira wananchi, nia yetu ya kujivua gamba ipo palepale, hatutajali dini, rangi, cheo, umri wala kabila ya mtuhumiwa - fagio la chuma litafanya kazi yake". mwisho wa kunukuu wa hisani ya nape.Nnape jitokeze mkuu uchangie hii mada.
Sasa ndugu zangu naomba mnisaidie maana huu mziki hauchezeki hata kidogo uwanjani, jamaa ndo hao wanaonekana
hawayumbi kwa maneno ya ndugu yangu NAPE sasa afanyeje maana tunataka tuijenge nchi japo NAPE hakuwa muwazi wa
kuomba mawazo ya msaada kwa hili suala, uwezo wake umeishia hapo SASA AFANYEJE MAMBO YAMEKUWA MAGUMU
NA SIKU NDO HIZO ZINAISHA BILA MATOKEO CHANYA KWA WATZ NA CCM ILIYOMTUMA KWA GHALAMA KUBWA JAPO KAZI
HAIJAFANYIKA....
Duh kwa hiyo ni sawa na KIBAJAJI eti kithubutu kuvuta SEMI TELA na nyomi ya SEMENTI toka wazo. aisee...yaani small bado kubwa NAPE is very minute kwa ma giant and heavy weights kama EL na Rostam...
yaani small bado kubwa NAPE is very minute kwa ma giant and heavy weights kama EL na Rostam...
alishakana zamani kuwa hajawahi kutoa siku 90 kwa mafisadi.zikiwa zimebaki siku 8 tangu rostam, lowasa na chenge kupewa siku 90 na ccm ikiongozwa na mwenyekiti wa itikadi na uenezi ndg nape nnauye kujiondoa wenyewe, mambo yamekuwa tofauti na ccm walivyofikili,watanzania wakiwa na imani kubwa sana na hawa viongozi waliowekwa baada ya ile secretariet ya zamani iliyokuwa ikongozwa na makamba mzee na kuwekwa hii inayoongozwa na ndh wilson mkama pembeni yake akiwepo nape, kiukweli mambo si mambo ndani ya ccm sasa kwani kila mmoja anashindwa atawaondoeje hawa wanaowaita magamba wakati mda wenyewe unakaribia kuisha wa siku 90,,,
nape kipindi anaingia katika hii nafasi alijua ni kazi rahisi sana ila kumbe mambo yamekuwa magumu tena sana kwani kati ya rostam,lowasa na chenge hakuna hata mmoja anaekumbuka kuwa
ana deni lakulipa kwa ccm ili ccm isiendelee kudaiwa na wananchi kile walichowaahidi cha kujivua gamba mnamo tarehe 10 april mwaka huu,,,
kwa hali hii inambidi nape aandae walaka wakuwajibu makada wa ccm na watanzania kwa ujumla ili ile kazi aliyopewa kuhakikisha kuwa analiondoa gamba ndani ya ccm inakamilika au aandae walaka wa kuwakana ccm na watanzania kuwa hakupewa hiyo kazi japo alipewa fungu la kutosha la kuhakikisha gamba linavuliwa,alipewa gari lakifahali kutembea tz nzima,alipewa ulinzi wa kutosha ili asipate tatizo lolote kutoka kwa maadui (magamba), sasa je siku ndo hizo zimebaki 8, je nnape ameandaa nini cha kujibu wakati hakuna hata gamba moja lililong'oka??????
je haya magamba yatambakiza nnape ndani ya ccm mara baada ya kushindwa kuyang'oa????
Mkuu huu mziki unachezeka kabisa, kinachotakiwa ni kufanya maamuzi magumu. Mguu ukipata saratani unakatwa ili kuokoa saratani kuenea mwili mzima na kuleta kifo.Ili kuikoa nchi yetu na angamizo la ufisadi lazima CCM wachukue uamuzi mgumu wa kuwaondoa mafisadi wote na siyo hao watatu tu, waanzie na gamba kubwa yaani JK,kwani yeye ndiye mlezi na mtetezi mkubwa wa mafisadi kwa kuwa yeye ni zao la ufisadi, ukipanda bangi lazima itaota bangi na kamwe siyo mchicha. JK aliingia madarakani kwa nguvu ya fedha ya mafisadi ambao leo hii ndiyo wanaitwa magamba, hii siyo sahihi hata kidogo. JK atimuliwe yeye na genge lake ndipo nchi itapona.
alishakana zamani kuwa hajawahi kutoa siku 90 kwa mafisadi.
same song kila kukicha
Nape hawawezi kina Lowasa.Hes so small....