MAGAMBA MATATU
JF-Expert Member
- Jul 2, 2011
- 646
- 1,225
Zikiwa zimebaki siku 8 tangu ROSTAM, LOWASA NA CHENGE kupewa siku 90 na CCM ikiongozwa na mwenyekiti wa itikadi na uenezi Ndg NAPE NNAUYE kujiondoa wenyewe, mambo yamekuwa tofauti na CCM walivyofikili,watanzania wakiwa na imani kubwa sana na hawa viongozi waliowekwa baada ya ile secretariet ya zamani iliyokuwa ikongozwa na Makamba mzee na kuwekwa hii inayoongozwa na Ndh Wilson mkama pembeni yake akiwepo NAPE, kiukweli mambo si mambo ndani ya CCM sasa kwani kila mmoja anashindwa atawaondoeje hawa wanaowaita magamba wakati mda wenyewe unakaribia kuisha wa siku 90,,,
Nape kipindi anaingia katika hii nafasi alijua ni kazi rahisi sana ila kumbe mambo yamekuwa magumu tena sana kwani kati ya ROSTAM,LOWASA NA CHENGE hakuna hata mmoja anaekumbuka kuwa
ana deni lakulipa kwa CCM ili CCM isiendelee kudaiwa na wananchi kile walichowaahidi cha kujivua gamba mnamo tarehe 10 April mwaka huu,,,
Kwa hali hii inambidi NAPE aandae walaka wakuwajibu makada wa CCM na watanzania kwa ujumla ili ile kazi aliyopewa kuhakikisha kuwa analiondoa gamba ndani ya CCM inakamilika au aandae walaka wa kuwakana CCM na watanzania kuwa hakupewa hiyo kazi japo alipewa fungu la kutosha la kuhakikisha gamba linavuliwa,alipewa gari lakifahali kutembea TZ nzima,alipewa ulinzi wa kutosha ili asipate tatizo lolote kutoka kwa maadui (MAGAMBA), sasa je siku ndo hizo zimebaki 8, JE NNAPE ameandaa nini cha kujibu wakati hakuna hata gamba moja lililong'oka??????
JE HAYA MAGAMBA YATAMBAKIZA NNAPE NDANI YA CCM MARA BAADA YA KUSHINDWA KUYANG'OA????
Nape kipindi anaingia katika hii nafasi alijua ni kazi rahisi sana ila kumbe mambo yamekuwa magumu tena sana kwani kati ya ROSTAM,LOWASA NA CHENGE hakuna hata mmoja anaekumbuka kuwa
ana deni lakulipa kwa CCM ili CCM isiendelee kudaiwa na wananchi kile walichowaahidi cha kujivua gamba mnamo tarehe 10 April mwaka huu,,,
Kwa hali hii inambidi NAPE aandae walaka wakuwajibu makada wa CCM na watanzania kwa ujumla ili ile kazi aliyopewa kuhakikisha kuwa analiondoa gamba ndani ya CCM inakamilika au aandae walaka wa kuwakana CCM na watanzania kuwa hakupewa hiyo kazi japo alipewa fungu la kutosha la kuhakikisha gamba linavuliwa,alipewa gari lakifahali kutembea TZ nzima,alipewa ulinzi wa kutosha ili asipate tatizo lolote kutoka kwa maadui (MAGAMBA), sasa je siku ndo hizo zimebaki 8, JE NNAPE ameandaa nini cha kujibu wakati hakuna hata gamba moja lililong'oka??????
JE HAYA MAGAMBA YATAMBAKIZA NNAPE NDANI YA CCM MARA BAADA YA KUSHINDWA KUYANG'OA????